FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,867
- 5,064
Vumilia tu ndugu, huku JF ni sawa na kukatiza K\koo na Mzazi wako, Mke au Dada....roho itakaa jujuu maana kama sio wataporomosheana mitusi wao kwa wao basi ni kumbughudhi huyo uliye nae.Hakuna siku ambayo JF nimeiona chungu kama hii leo, yani nina machungu ya mama kuibiwa nikaona ni vyema niwashirikishe wana jf wenzangu kwa msaada zaidi but unfortunately naambulia kumtukanisha mama hivhiv yani. Binafsi siwezi matusi na wala majibizano na watu na sijawahi kufanya hivyo hata humu JF so inabidi mkuu nivumilie tu japo kua imeniuma mno na kunikereketa sana nafsi yangu na naishia kujilaumu tu kwanini nilianzisha hii thread!!