MSAADA wa haraka kutoka NACTE wadau.

MSAADA wa haraka kutoka NACTE wadau.

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,255
Reaction score
8,027
Kuna mdogo wangu anajaribu ku-apply kozi level ya degree kupitia NACTE, yeye ni diploma holder.
Tatizo anafika mahali imeandikwa CHUO ULICHOSONEA, tukiangalia kwenye list ya vyuo vilivyoorodheshwa chuo chake alichosomea hakipo kwenye list ya vyuo hivyo.

Alisomea CLINICAL OFFICERS TRAINING MTWARA na ni chuo cha siku nyingi cha serikali kilichosajiliwa moja kwa moja muda mrefu sana na ana vigezo vyote GPA ya 3.8.


Msaada wenu wadau afanyenye maana anashindwa kuendelea kuomba.


Nitashukuru kwa msaada wenu.
 
Kuna mdogo wangu anajaribu ku-apply kozi level ya degree kupitia NACTE, yeye ni diploma holder.
Tatizo anafika mahali imeandikwa CHUO ULICHOSONEA, tukiangalia kwenye list ya vyuo vilivyoorodheshwa chuo chake alichosomea hakipo kwenye list ya vyuo hivyo.

Alisomea CLINICAL OFFICERS TRAINING MTWARA na ni chuo cha siku nyingi cha serikali kilichosajiliwa moja kwa moja muda mrefu sana na ana vigezo vyote GPA ya 3.8.


Msaada wenu wadau afanyenye maana anashindwa kuendelea kuomba.


Nitashukuru kwa msaada wenu.
Kama chuo hakionekan kuna option ya kuandika chuo manually bonyeza hapo na andika kwa kirefu jina la chuo kisha endelea na hatua zinazofuata
 
Kama chuo hakionekan kuna option ya kuandika chuo manually bonyeza hapo na andika kwa kirefu jina la chuo kisha endelea na hatua zinazofuata
Ok,asante GT.
 
Click ile sehemu ya vyuo then shuka mpaka mwisho kabisa kuna sehemu wamekuandikia click hapa kama Chuo chako hakipo kwenye then baada ya kuclick utaandika jina la Chuo alafu uendelee na process nyingine
 
Back
Top Bottom