Msaada Wa Haraka Katika Hili Wadau!!!!

Mshumaaa

Senior Member
Sep 26, 2012
156
17
Mimi narusha picha kwenye cable kwa kutumia Amplifire na Booster .Naomba kuelimishwa kuhusu FAIBA Siielewi kabisa ikiwa ni pamoja vifaa vyote vinavyohusika ikiwezekana na gharama. Nataka kubadili system nakuachana na system ya kutumia Amplifire na Booster ambapo picha zinakuwa sio bora. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
Mimi narusha picha kwenye cable kwa kutumia Amplifire na Booster .Naomba kuelimishwa kuhusu FAIBA Siielewi kabisa ikiwa ni pamoja vifaa vyote vinavyohusika ikiwezekana na gharama. Nataka kubadili system nakuachana na system ya kutumia Amplifire na Booster ambapo picha zinakuwa sio bora. Natanguliza shukrani zangu za dhati.

Sijui fiber kama kwa kiswahili ni hivyo ulivyoiandika ila kuelezea klwa kiswahili ninaweza kukosea ila kwa kifupi fiber(optic fiber cable) ni wire zinzosafirisha data kwa kasi zaidi zinatumia technologia ya mwanga naamini unajua mwanga unasafiri kwa kasi zaidi kuliko sauti basi fikiria fiber cable kama ni wire zinazoweza kusafirisha data kwa kasi zaidi.
Sijui unaelimu gani naomba kwa kifupi niishie hapo ,gharanma yake iko juu sana nisikudanganye ni kampuni chache sana wanatumia fiber mara nyingi ISP(internet service provider) hawa ni makampuni yanayofanya biashara za internet kama vodacom,tigo,airtel ,simbanet etc wanazitumia hasa upande wa backbone(sehemu ambako kuna data nyingi zinasafirishwa ) naona kuelezea kwa kiswahili napata shida.Wakija wanaojua kuelezea vizuri watakusaidia ila kwa kifupi
1.Ni wire zinazosafirisha data kwa speed zaidi
2.Gharama yake iko juu na wataalam wa kufanya installation,kuterminate au kukusaidia tatizo likitokea ni wachache wako kwenye makampuni makubwa na sijui utamudu kuwalipa na vifaa vya kuterminate fiber ni gharama siyo kama UTP cable au coaxial cable ukiwa na crimping tool kazi zinaenda.
 
Back
Top Bottom