Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,827
KUSEMA KWELI MIMI NAJUA KUPIKA KIAINA.KATIKA FAMILIA NI WALE WATU AMBAO KAMA KUNA MNUSO LAZIMA NIPANGWE JIKONI .JAPO SIO KWAMBA MIMI NDO TOP NIPO KAMA NAMBA TATU HIVI KATIKA WANAWAKE SITA SO SIO MBAYA UKIZINGATIA MIMI NDO MDOGO.SAA JMOSI KUNA MNUSO WA HATARE NA MIMI NDO MUHUSIKA NAMBA MBILI YAANI NATAKA WAGENI WAKASIMULIE KWAO.
TUNACHINJA MBUZI KADHAA NATAKA ASUBUHI NIPIKE SUPU MOJA MATATA SANA .NAOMBENI TIPS ZA SUPU KALI YA MBUZI
MIMI NAJUA ILE STYLE YA KUWEKA NYAMA JIKONI NA CHUMVI TU BILA MAJI NA KUKOROGA WEEE HADI ITOKE SUPU THEN NDO NIJE NIONGEZEE MAJI. NJIA NYINGINE TAFADHANI
TUNACHINJA MBUZI KADHAA NATAKA ASUBUHI NIPIKE SUPU MOJA MATATA SANA .NAOMBENI TIPS ZA SUPU KALI YA MBUZI
MIMI NAJUA ILE STYLE YA KUWEKA NYAMA JIKONI NA CHUMVI TU BILA MAJI NA KUKOROGA WEEE HADI ITOKE SUPU THEN NDO NIJE NIONGEZEE MAJI. NJIA NYINGINE TAFADHANI