mzee wa giningi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 519
- 336
- Thread starter
- #61
Ufaulu wako upoje kwenye HKL ?Ndio.ila me nimenalza 6 hkl.je Luna coz ya ualim ambayo naweza ku apply???au coz IPo hiyo hiyo ya ualimu wa ufundi basi??? Au kuna na coz nyingine za ualimu???
Umemaliza mwaka gani ?3. (CEF)kiswahl C.histry F,English E
Mwaka huuUmemaliza mwaka gani ?
Apply tu una sifa sitahiki kabisa tuma vyuo vya mtwara k teachers college ,tabora teachers college ,nk utachuguliwa tu lazima lipia elfu ishirini kupitia M-PESA then chagua vyuo chagua kozi ya stashahada ya ualimu sayansi jamii na lugha sekondari ,miaka miwili utasomaMwaka huu
Sasa hapo kwenye Ku apply ndio nataka unielekeze.nkisha lipa nafanya nn tenaApply tu una sifa sitahiki kabisa tuma vyuo vya mtwara k teachers college ,tabora teachers college ,nk utachuguliwa tu lazima lipia elfu ishirini kupitia M-PESA then chagua vyuo chagua kozi ya stashahada ya ualimu sayansi jamii na lugha sekondari ,miaka miwili utasoma
Uko wapi ww ?Sasa hapo kwenye Ku apply ndio nataka unielekeze.nkisha lipa nafanya nn tena
Nenda internet cafe waambie watakusaidiaMoro
Jamani nimelipa hvyo 20000 lakini nashangaa naletewa hiviNenda internet cafe waambie watakusaidia
Apply mzee hutojutaMkuu kama hii kozi nzuri goja niapply but karo yao ndoo kubwa sana sijui around laki Tisa but nitakomaa tu
Chagua categories Moja tu ya education peke yakeJamani nimelipa hvyo 20000 lakini nashangaa naletewa hivi
Angalia kiasi ulicholipia huenda ukawa umekosea,kwa sababu inaonekana pesa uliyotuma ni kidogo!Jamani nimelipa hvyo 20000 lakini nashangaa naletewa hivi
Hawaingizi hivyo hiyo code ya m pesa mkuu weka vizuri hiyo code ya m pesaNo nimelipa 20.alafu kwenye kuchagua category wana niletea HV nikichagua naambiwa kiasi hakitoshiView attachment 438313
Sasa inaingizwa VP kwaniHawaingizi hivyo hiyo code ya m pesa mkuu weka vizuri hiyo code ya m pesa
Me nimelipa kwa airtel moneyHawaingizi hivyo hiyo code ya m pesa mkuu weka vizuri hiyo code ya m pesa
Mimi nimelipa kwa airtel money