Msaada wa haraka; hapokei simu wala sms kwenye simu

Msaada wa haraka; hapokei simu wala sms kwenye simu

Chichi Theboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2015
Posts
429
Reaction score
499
Habari wanajamvi,msaada wa haraka unahitajika kuna rafiki yangu aliweka call barring for all incoming calls kwenye simu yake mpaka sasa hapokei simu wala sms.

Tumejaribu kutoa kwa kutumia namba *35*1111# lakini inagoma pia tumeenda kwenye call settings ili kucancel lakini inadai password na kila password tunayoweka inagoma(0000)(1234) wajuvi wa hizi kazi mnisaidie.
natanguliza shukrani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanajamvi,msaada wa haraka unahitajika kuna rafiki yangu aliweka call barring for all incoming calls kwenye simu yake mpaka sasa hapokei simu wala sms. Tumejaribu kutoa kwa kutumia namba *35*1111# lakini inagoma pia tumeenda kwenye call settings ili kucancel lakini inadai password na kila password tunayoweka inagoma(0000)(1234) wajuvi wa hizi kazi mnisaidie.
natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
.
toeni hiyo barring kwa kubonyeza hii: #35*0000#.
 
Back
Top Bottom