miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 660
Habari? Naombeni mnisaidie dawa nzuri inayotibu kikohozi kwa haraka hata ndani ya siku 2 au 1, nmetoka kujifungua juzi kwa oparation sasa Jana usiku nimepatwa na kikohozi Cha ghafla nikikohoa mshono unauma sana mpaka nalia nahisi Kama utafumuka. Naombeni mnisaidie jina la dawa nikanunue nianze kunywa sahivi kabla hakijazidi