mapanga3
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 665
- 635
Jm ni 28000
Jm ni 28000
Panda EsterBasi gani nzuri la kwenda singida kiomboi
Atakuwa anatoka NangulukuluUnatokea shinyanga? Tabora? Babati? Arusha? Tanga?Dumila?
Ha ha ha haaaaaa... Kabisa kabisa Mkuu, au mtambaswala kabisaAtakuwa anatoka Nangulukulu
5000Kama singida unaweza kwenda kwa 15,000 basi morogoro ni buku mbili
Jibu murua sana hiliHiyo elfu20 panda Fuso la kuku au Karanga.
Nauli ndo bei gani mkuuuPanda Ester
Wewe ni Bashite haswa, hajusema unatoka wapi?Nataka kwenda singida hapo kesho..je..kwa nauli yang ya tsh 20000/=
Nitapata basi gani la kusafili nalo
Panda MteiBasi gani nzuri la kwenda singida kiomboi
Dar-Kiomboi sh. 33,000Nauli ndo bei gani mkuuu
Mkuu utakuwa hujajiandaa na safarAksanteni..nimedandia hapa lori la mafuta..linatereza kama kambare..toka dar..