Msaada wa GPA wakuu

Msaada wa GPA wakuu

Titus3652

Senior Member
Joined
Mar 10, 2019
Posts
143
Reaction score
189
wakuu nina mdogo wangu anasoma diploma ya biomedical engneering.

Sasa anauliza je GPA ipi ni nzuri zaidi kwakua hii semister ana 3.3 msaada kwenu wakuu yupo first year ni vzuri zaid akijua GPA ipi inafaa zaidi
 
wakuu nina mdogo wangu anasoma diploma ya biomedical engneering
sasa anauliza je GPA ipi ni nzuri zaidi kwakua hii semister ana 3.3 msaada kwenu wakuu yupo first year ni vzuri zaid akijua gpa ipi inafaa zaidi
Mwambie apambane sana semester ijayo na nyingine ili ikiwezekana overall GPA ije kucheza kwenye 3.8 na 4.0
 
wakuu nina mdogo wangu anasoma diploma ya biomedical engneering.

Sasa anauliza je GPA ipi ni nzuri zaidi kwakua hii semister ana 3.3 msaada kwenu wakuu yupo first year ni vzuri zaid akijua GPA ipi inafaa zaidi
Amantaini 3.5 and above
 
Ajitahidi Sana, ikipigwa overall awe juu ya gpa inayotakiwa...
 
Back
Top Bottom