hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Wakuu Habari za weekend
Gari yangu Aina ya Nissani teana 230jm inashida zifuatazo ambazo naomba ni share na wadau hapa mnipe mawazo
1. Check engine light iko on
2. Ukitembea umbali flan Gari inazima na kuwaka hapo ni ishu kweli kweli
3. Ikiwa Inatembea inakuwa kama inatetemeka
4. Kwenye Injini kwa chini Kuna moshi unatoka it's like oil au sijui ni kitu gani kinamwagika
Ombi langu wadau ni kupata msaada wa fundi mzuri au kama Kuna mtu alipata shika kama hii kwenye Gari yake basi anijulishe alifanyaje.
Gari yangu Aina ya Nissani teana 230jm inashida zifuatazo ambazo naomba ni share na wadau hapa mnipe mawazo
1. Check engine light iko on
2. Ukitembea umbali flan Gari inazima na kuwaka hapo ni ishu kweli kweli
3. Ikiwa Inatembea inakuwa kama inatetemeka
4. Kwenye Injini kwa chini Kuna moshi unatoka it's like oil au sijui ni kitu gani kinamwagika
Ombi langu wadau ni kupata msaada wa fundi mzuri au kama Kuna mtu alipata shika kama hii kwenye Gari yake basi anijulishe alifanyaje.