Mkuu ina tatizo gani? Kama ni check engine kuna kifaa kinaitwa code reader unapachika palee chini ya steering kinaweza soma tatizo kwa mfumo wa codes. Mfano D342 ndio code inasomeka, chukua hiyo namba google Suzuki escudo 2008 codes, utatafuta maana ya hiyo code na katika page hiyo hiyo itakuambia tatizo. Most common problem huwa ni oxygen sensor mpk check engine inawaka.
Hata hivyo kama tatizo lako ni check engine pekee don't worry! Tafuta fundi taratibu hata ikifika 6months don't worry kbs. Ila TAHADHARI, ukiona check engine inaflash baasi peleka haraka sana gari kwa fundi au usiendeshe kabisa. Hapo ni zaidi ya hatari, asante
nyie ndio huwa mnaharibu magari . usifanye mambo kwa kukariri mkuu hata ubaweza pewa mashine na ukashindwa kuitumia au unaweza pewa hiyo code hapa na ukashindwa kabisa kujua tatizo ni nini ??
mambo ya kifundi kama huna interest ya kifundi ni magum sana.
kwakuwa kasema yeye yupo dar mm nampa ofa ya ki JF kama tatizo lake linahitaji kupimwa na mashine diagnosis basi haina shida mm napatikana mwenge nitampimia bure kabisa na kama atataka nimfuate alipo hata kama ni mkoani au nje ya mwenge yy atagaramikia nauri tuu ya kwenda na kunirudisha mwenge.
bure yangu ni juu ya kupima tuu kama kutakuwa na tatizo basi itatakiwa anunue spare.
Peleka CFAO ..,
ni dada yako ninayempendaSuzuki nin?
Gari? Simu? Computer? Pikipiki?
Yule aloku f**ra?