Msaada wa fasta: Urasimu na maendeleo

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
15,921
14,820
Kuna mtu kaja kunichanganya na maupuuuzi yake, nahitaji misaada yenu mfikirie nje ya box na mimi plz

Mpuuzi: unajua Penny huko tunakoenda, kama dada zetu hawatoolewa sasa hivi itakuwa basi tena... mambo yakiendelea kurasimishwa kwa akina dada poa, waombe na haki zao kama ulaya, weeee, wanaume watakuwa wana deal na akina Dada poa tu!

Maana hata kwenye bar washaanza kuboresha bar zao wanaweka mpaka na vyumba kwa ndani, ukimwitaji dada poa, unalipia mnamaliza yenu unaondoka. Kwahiyo zile gharama za kugaramia michepuko, kumpangishia nyumba, kulea mke, watoto, vocha, gari, basic needs, kodi za nyumba, kodi za serikali kama kodi ya ardhi, nyumba, kugharamia inakuwa hamna tena, mtu anapunguza gharama.

Money penny: Hamna serikali haiwezi ruhusu mambo haya, imekataza Dildos itakuwa hilo?! Pia wazungu wanasema no man is an island, hata nyie wanaume mnapenda kuwa na mpenzi, familia, mpate na watoto

Mpuuzi: kwa hali ipi labda?! Hii ya Uncle wetu au?! hali ilivyo ngumu sa hivi, me nakwambia money penny, huko tunakoenda, ndoa zitakuwa kama za ulaya za kubipu, maana maisha ni magumu sasa

Nikanyamaza kwa muda najisemea unajua huyu mpuuzi anaongea point lkn, Je urasimu unaweza zuia maendeleo ya maisha yote kwa ujumla hasa ktk mapenzi?!

Nyie mnasemaje wana JF?!
 
ndoa zinapungua sana kiukweli... maana mwaka jana nilikuwa na kadi za michango mingi sana mwez kama huu ila mwaka huu watu wamegoma kuoa.. hata waliopanga nao wamehairisha
 
ndoa zinapungua sana kiukweli... maana mwaka jana nilikuwa na kadi za michango mingi sana mwez kama huu ila mwaka huu watu wamegoma kuoa.. hata waliopanga nao wamehairisha
Ahahaha. Kisa nini jamaa?! Me mpaka sasa mwezi wa 3 sijachanga hata 100 ya harusi. Kiru
 
hiyo ya vyumba vya ndani kwenye bar naipenda haswa...........kuna bar nilienda gafla bar maid katoweka,,,sa me nilikua na bishosti wangu tukaend kuchukua chumba tujirushe,,kwenye kordo nakutana na bar maid katoka room na mshkaji,,,mid mwenyewe kulinda kibarua hata suruali hajafunga vizuri,,nilishuhudia akivaa koridoni
 
Money penny nakutafutia nafasi katika ubongo wangu ili niwe nakuelewa kila unachopost.

Kidogo kidogo naamini nitaweza.
 
mjomba magu anafungia pesa bot... ukimwomba mtu mchango wa harusi unaona kama unamtukana vile
Che Makubwa! Yeye kamaliza kuozesha au?!

hiyo ya vyumba vya ndani kwenye bar naipenda haswa...........kuna bar nilienda gafla bar maid katoweka,,,sa me nilikua na bishosti wangu tukaend kuchukua chumba tujirushe,,kwenye kordo nakutana na bar maid katoka room na mshkaji,,,mid mwenyewe kulinda kibarua hata suruali hajafunga vizuri,,nilishuhudia akivaa koridoni
Ahahaha nimecheka, utamu koleaaa

Money penny nakutafutia nafasi katika ubongo wangu ili niwe nakuelewa kila unachopost.

Kidogo kidogo naamini nitaweza.
Hihihihi, nimecheka we mtunduuu usijali me nipo siendi kokote. Karibu sana nitakutag stori na hadithi zangu zots
 
acha sijui rasimu sijui nini iyo ipite maana maisha yenyew yako wapi yakuoa sasa wanawake wenyewe pasua kichwa

alaf penny inapita lini iyo rasimu maana madada poa watamu sana maana wanauzoefu na hawana gharama kama mke mara cjui pedi cjui takataka gani acha ipite tuu mamaaaaa
 
acha sijui rasimu sijui nini iyo ipite maana maisha yenyew yako wapi yakuoa sasa wanawake wenyewe pasua kichwa

alaf penny inapita lini iyo rasimu maana madada poa watamu sana maana wanauzoefu na hawana gharama kama mke mara cjui pedi cjui takataka gani acha ipite tuu mamaaaaa
Kiru ndooorooboe
Nchi yaki haiwezi kubali asee baadae sana labda wewe ukiwa na wajukuu kabisaa
 
Back
Top Bottom