Owk sawa mkuu, lakin huyo aliekuambia ni dakatri au ni mfamasia? kama sio kati ya hao nakushauri utumie hyo dozi uliyopewa then uendelee kutunza afya yako!!Ni kwel na nimeanza kutumia changamoto wanasema hazimaliz tatizo bali zinapoza tu
CiprofloxacinCipro ndo mtetezi wa nchi zetu Ila zipo Azithromycin ni the best Ila sizioni hapa kwetu kabisa
Sio kweli kuwa azithro hazipo vinginevyo huwa unaenda kuulizia kwenye maduka ya dawa muhimu na sio Famasi,!Cipro ndo mtetezi wa nchi zetu Ila zipo Azithromycin ni the best Ila sizioni hapa kwetu kabisa
Azithro zinatofautiana hizi zilizopo ni mfano tu ndo maana sizihesabu Field Yangu hiiSio kweli kuwa azithro hazipo vinginevyo huwa unaenda kuulizia kwenye maduka ya dawa muhimu na sio Famasi,!
Acha kupotosha watu ,tofauti ni brand tu ila zote ni azithromycine dihydrate, tofauti ya makampuni tu kama tigo na zain ...Azithro zinatofautiana hizi zilizopo ni mfano tu ndo maana sizihesabu Field Yangu hii
Umepima hospital gani? Angalia sana sana asilimia kubwa ya watu wanaopima wakaambiwa wana typhod hawana! Nakumabia tena... angalia sana sana... hasa kama umepima hivi vihospital vya mitaani! Kama Uko Dar es Salaam nenda kapime hospital yoyote ya serikali au TMJ, Agakhan etc. Ni bora ukalipa hata bei kubwa kupima ili upate majibu sahihi kwani kutegemea majibu ya hospital uchwara kutaku-cost muda na fedha zaidi. Kwanza hiyo ya kusema tu kuwa eti dawa za hospital zinatuliza tu ni uongo mkubwa.Ndugu zangu poleni na mihangaiko ya kila siku, nina omba anaejua dawa nzur ya typhod anisaidie.
Mkuu nahisi jamaa hana typhod! Ni ule ule mwendelezo wa watu kuambiwa wana typhoid kwenye hizi hoapital za mitaani. Ajaribu kwenda hopstal inayoeleweka! Kwanza kitendo cha kusema eti dawa za hospital zinatuliza tu ni uongo mkubwa. Ugonjwa unatibika vizuru sana kama mgonjwa anameza dawa kama alivyombiwa na dawa ziwe za ukweli. Naona wakimdanganya kwenda kununua miti shamba au hizi wanazoita ''dawa mbadala'' ambazo wanauza ghali halafu ni za uongo kabisa.Owk sawa mkuu, lakin huyo aliekuambia ni dakatri au ni mfamasia? kama sio kati ya hao nakushauri utumie hyo dozi uliyopewa then uendelee kutunza afya yako!!
Wewe unataka dawa za bungeni? Kama huamini hospitali na dawa zake hivyo vipimo utaamini vipi kama vinasema kweli.Ndio nimepima na nimeandikiwa dawa lkn wanasema dawa za hsp zinatuliza tu na sio kumaliza tatizo
Sawa.Acha kupotosha watu ,tofauti ni brand tu ila zote ni azithromycine dihydrate, tofauti ya makampuni tu kama tigo na zain ...