kumbe mtu mwenyewe longolongo.bona hueleweki?matunda ya aina gani? kuna machungwa,nanasi, embe..nk
Kwa msaada tu chukua hii namba 0715100048.hii ni namba wa dalali wa maembe yanayotoka Tabora.Anaitwa robert. mia
Madalali ni watu hatari sana hasa kama bidhaa unayopeleka sokoni ni perishable [rahisi kuharibika/oza].Nakushauri kabla hujapeleka bidhaa sokoni tafadhali fanya utafiti wa kutosha kuhusu aina ya bidhaa zako ziwe katika hali gani kama ni machungwa hakikisha unapeleka sokoni chungwa zinazoanza kutia rangi ya njano kwa mbali sehemu kubwa liwe kijani.Usikubali dalali mmoja amiliki bidhaa yako hakikisha bei ya soko siku hiyo inafanyakazi jitahidi kupeleka mzigo asubuhi na mapema ikiwezekana saa kumi na moja asubuhi ni wakati sahihi.
Figganiga thank you alot,nimecheki na Robert amesema ana dili na maembe tu but amenipa ushauri mzuri naufanyia kazi.But still naomba mwenye contact za anaedeal na mbogamboga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.