Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,828
- 8,685
Habari za sahizi wake kwa waume, kwa majina naitwa Frenk Robert nina miaka 24. Nitafuta kazi au mafunzo ya kujitolea walau na kanauli kwenye viwanda vyote vya vyakula mfano soda beer,samaki,nyama,maji,mafuta na unga wa ngano.
Pia kwenye maabala zinazo husiana na uchunguzi wa vyakula, na shughuli za usimamiz wa rasilimali maji,elimu na mafuzo ya ufugaji wa samaki kwa maji baridi.(fisheries expert and extentions worker) mwenye connection au wakunisaidia moja kwa moja na ushauri karibu natanguliza shukurani️🙏
Elimu yangu, Nina diploma ya fisheries/Uvuvi na kutoka chuo cha kati nyegezi mwanza(FETA) pia ni muhitimu wa degree ya food science and technology sua morogoro.Nina uwezo wa kati kutumia komputa,naongea na kuandika lugha ya kiswahili na kingereza.
Pia kwenye maabala zinazo husiana na uchunguzi wa vyakula, na shughuli za usimamiz wa rasilimali maji,elimu na mafuzo ya ufugaji wa samaki kwa maji baridi.(fisheries expert and extentions worker) mwenye connection au wakunisaidia moja kwa moja na ushauri karibu natanguliza shukurani️🙏
Elimu yangu, Nina diploma ya fisheries/Uvuvi na kutoka chuo cha kati nyegezi mwanza(FETA) pia ni muhitimu wa degree ya food science and technology sua morogoro.Nina uwezo wa kati kutumia komputa,naongea na kuandika lugha ya kiswahili na kingereza.