Msaada wa ajira

Dullyminah

Member
Nov 8, 2017
19
17
Habari waungwana wa humu JF. Naomba msaada wenu kwenye hili. Nina mdogo wangu amesoma bachelor of science in chemistry amemaliza chuo 2017 kwa sasa anafanya kazi kiwanda cha vipodozi kama Labolatory tecnician (mkemia).

Hicho ni kiwanda cha wahindi wanampa mshahara mdogo sana. Ajira za serikalini zimekua chache sana hua kila akiomba anaitwa kwenye interview ila hajafanikiwa. Msaada wenu kama kuna sehemu mtu anaweza kushauri akaombe kazi ila isiwe kwa wahindi
 
Habari waungwana wa humu JF. Naomba msaada wenu kwenye hili. Nina mdogo wangu amesoma bachelor of science in chemistry amemaliza chuo 2017 kwa sasa anafanya kazi kiwanda cha vipodozi kama Labolatory tecnician (mkemia).

Hicho ni kiwanda cha wahindi wanampa mshahara mdogo sana. Ajira za serikalini zimekua chache sana hua kila akiomba anaitwa kwenye interview ila hajafanikiwa. Msaada wenu kama kuna sehemu mtu anaweza kushauri akaombe kazi ila isiwe kwa wahindi
Anaomba kazi wakati ana kazi
 
Habari waungwana wa humu JF. Naomba msaada wenu kwenye hili. Nina mdogo wangu amesoma bachelor of science in chemistry amemaliza chuo 2017 kwa sasa anafanya kazi kiwanda cha vipodozi kama Labolatory tecnician (mkemia).

Hicho ni kiwanda cha wahindi wanampa mshahara mdogo sana. Ajira za serikalini zimekua chache sana hua kila akiomba anaitwa kwenye interview ila hajafanikiwa. Msaada wenu kama kuna sehemu mtu anaweza kushauri akaombe kazi ila isiwe kwa wahindi
Heri ya mwaka mpya.
Mwambie dogo a register mtandao wa LinkedIn. Akisha register kule atengeneze profile yake vizuri kabisa, including elimu yake, sehemu anapofanya kazi, majukumu yake pamoja na skills alizonazo.
Akisha register, aanze ku connect na watu mbalimbali kwenye sekta yake waliopo Linkedin, mfano HRs, directors, Managers wa makampuni ya vipodozi, viwanda vya madawa (pharmaceuticals), viwanda vya simenti, viwanda vya madawa ya kilimo na ufugaji, taasisi za utafiti wa magonjwa ya binadamu, mimea na wanyama (Mfano-NIMRI, SUA, TALIRI, TPRI), viwanda vya vyakula na vinywaji .
Akisha connect na watu wa hizo industries ambao ni decision makers (HRs, directors, managers), aanze sasa kuwafuata inbox na kuongea nao na kuwaambia kuwa anatafuta kazi huku akisema ni skills gani anazo na uhitaji wake. Hii njia ni useful sana, sema Watanzania wengi hawajaishtukia hawaijui kabisa wengi wanasubiri tu nafasi zitangazwe. Wakati mara nyingi nafasi zikitangazwa huwa ni formality, unakuta tayari wanajulikana wanaokwenda kuzijaza. Akitumia aporoach hii consistently bila kukata tamaa, ndani ya miezi 6-9 atakua amepata kazi, nakupa assurance. Cha muhimu, atengeneze tu profile nzuri na a connect with the right people.
 
Heri ya mwaka mpya.
Mwambie dogo a register mtandao wa LinkedIn. Akisha register kule atengeneze profile yake vizuri kabisa, including elimu yake, sehemu anapofanya kazi, majukumu yake pamoja na skills alizonazo.
Akisha register, aanze ku connect na watu mbalimbali kwenye sekta yake waliopo Linkedin, mfano HRs, directors, Managers wa makampuni ya vipodozi, viwanda vya madawa (pharmaceuticals), viwanda vya simenti, viwanda vya madawa ya kilimo na ufugaji, taasisi za utafiti wa magonjwa ya binadamu, mimea na wanyama (Mfano-NIMRI, SUA, TALIRI, TPRI), viwanda vya vyakula na vinywaji .
Akisha connect na watu wa hizo industries ambao ni decision makers (HRs, directors, managers), aanze sasa kuwafuata inbox na kuongea nao na kuwaambia kuwa anatafuta kazi huku akisema ni skills gani anazo na uhitaji wake. Hii njia ni useful sana, sema Watanzania wengi hawajaishtukia hawaijui kabisa wengi wanasubiri tu nafasi zitangazwe. Wakati mara nyingi nafasi zikitangazwa huwa ni formality, unakuta tayari wanajulikana wanaokwenda kuzijaza. Akitumia aporoach hii consistently bila kukata tamaa, ndani ya miezi 6-9 atakua amepata kazi, nakupa assurance. Cha muhimu, atengeneze tu profile nzuri na a connect with the right people.

Afuate muongozo
 
Heri ya mwaka mpya.
Mwambie dogo a register mtandao wa LinkedIn. Akisha register kule atengeneze profile yake vizuri kabisa, including elimu yake, sehemu anapofanya kazi, majukumu yake pamoja na skills alizonazo.
Akisha register, aanze ku connect na watu mbalimbali kwenye sekta yake waliopo Linkedin, mfano HRs, directors, Managers wa makampuni ya vipodozi, viwanda vya madawa (pharmaceuticals), viwanda vya simenti, viwanda vya madawa ya kilimo na ufugaji, taasisi za utafiti wa magonjwa ya binadamu, mimea na wanyama (Mfano-NIMRI, SUA, TALIRI, TPRI), viwanda vya vyakula na vinywaji .
Akisha connect na watu wa hizo industries ambao ni decision makers (HRs, directors, managers), aanze sasa kuwafuata inbox na kuongea nao na kuwaambia kuwa anatafuta kazi huku akisema ni skills gani anazo na uhitaji wake. Hii njia ni useful sana, sema Watanzania wengi hawajaishtukia hawaijui kabisa wengi wanasubiri tu nafasi zitangazwe. Wakati mara nyingi nafasi zikitangazwa huwa ni formality, unakuta tayari wanajulikana wanaokwenda kuzijaza. Akitumia aporoach hii consistently bila kukata tamaa, ndani ya miezi 6-9 atakua amepata kazi, nakupa assurance. Cha muhimu, atengeneze tu profile nzuri na a connect with the right people.
Nilijaribu kufanya hivyo lakini mostly ya hao hr's, managers hawajibu chochote (they ignore)
 
Heri ya mwaka mpya.
Mwambie dogo a register mtandao wa LinkedIn. Akisha register kule atengeneze profile yake vizuri kabisa, including elimu yake, sehemu anapofanya kazi, majukumu yake pamoja na skills alizonazo.
Akisha register, aanze ku connect na watu mbalimbali kwenye sekta yake waliopo Linkedin, mfano HRs, directors, Managers wa makampuni ya vipodozi, viwanda vya madawa (pharmaceuticals), viwanda vya simenti, viwanda vya madawa ya kilimo na ufugaji, taasisi za utafiti wa magonjwa ya binadamu, mimea na wanyama (Mfano-NIMRI, SUA, TALIRI, TPRI), viwanda vya vyakula na vinywaji .
Akisha connect na watu wa hizo industries ambao ni decision makers (HRs, directors, managers), aanze sasa kuwafuata inbox na kuongea nao na kuwaambia kuwa anatafuta kazi huku akisema ni skills gani anazo na uhitaji wake. Hii njia ni useful sana, sema Watanzania wengi hawajaishtukia hawaijui kabisa wengi wanasubiri tu nafasi zitangazwe. Wakati mara nyingi nafasi zikitangazwa huwa ni formality, unakuta tayari wanajulikana wanaokwenda kuzijaza. Akitumia aporoach hii consistently bila kukata tamaa, ndani ya miezi 6-9 atakua amepata kazi, nakupa assurance. Cha muhimu, atengeneze tu profile nzuri na a connect with the right people.
Asante kwa ushauri boss
 
Heri ya mwaka mpya.
Mwambie dogo a register mtandao wa LinkedIn. Akisha register kule atengeneze profile yake vizuri kabisa, including elimu yake, sehemu anapofanya kazi, majukumu yake pamoja na skills alizonazo.
Akisha register, aanze ku connect na watu mbalimbali kwenye sekta yake waliopo Linkedin, mfano HRs, directors, Managers wa makampuni ya vipodozi, viwanda vya madawa (pharmaceuticals), viwanda vya simenti, viwanda vya madawa ya kilimo na ufugaji, taasisi za utafiti wa magonjwa ya binadamu, mimea na wanyama (Mfano-NIMRI, SUA, TALIRI, TPRI), viwanda vya vyakula na vinywaji .
Akisha connect na watu wa hizo industries ambao ni decision makers (HRs, directors, managers), aanze sasa kuwafuata inbox na kuongea nao na kuwaambia kuwa anatafuta kazi huku akisema ni skills gani anazo na uhitaji wake. Hii njia ni useful sana, sema Watanzania wengi hawajaishtukia hawaijui kabisa wengi wanasubiri tu nafasi zitangazwe. Wakati mara nyingi nafasi zikitangazwa huwa ni formality, unakuta tayari wanajulikana wanaokwenda kuzijaza. Akitumia aporoach hii consistently bila kukata tamaa, ndani ya miezi 6-9 atakua amepata kazi, nakupa assurance. Cha muhimu, atengeneze tu profile nzuri na a connect with the right people.
Nashangaa kule hukuti watu wengi haswa watanzania wengi wanajiona wajanja wakiwa Instagram na twitter izo content hawana kila siku kujifanya watu wa ushauri ....Badala kule linkedin Kuna fursa kibao watu wa maana wote wako kule unaapply kazi yeyote global na info unapata
Screenshot_20230102-185855.png


Izo ni alerts za leo tu👆👆 fursa sehemu yeyote ile ukiweka profiles safi ukapata connections wa maana automatically zile jobs zinahusiana na career yako zinakuja .
 
Nilijaribu kufanya hivyo lakini mostly ya hao hr's, managers hawajibu chochote (they ignore)
Mchawi ni idadi. Ni kweli asilimia zaidi ya 50 wanaweza kuignore. Ila wewe inabidi uwa message wengi as much as possible, mimi niliwahi kumfanyia mdogo wangu hii ikawa kila siku nakaa nae masaa mawili, kazi inakua kutafuta connections za decision makers kwenye kampuni zinazohusika na fani yake, na kuwa inbox wale ambao tayari ameconnect nao. Ilimchukua miezi mitatu yeye kupata kazi kupitia njia hiyo wakati kabla ya hapo alikua ameshasota miaka miwili, aliitwa interview na akaenda na akatusua, na akapewa mkataba. Kwa hiyo usikate tamaa kwa ambao hawajibu, wewe deal na wale ambao watajibu hata kama ni asilimia 20.
 
Mchawi ni idadi. Ni kweli asilimia zaidi ya 50 wanaweza kuignore. Ila wewe inabidi uwa message wengi as much as possible, mimi niliwahi kumfanyia mdogo wangu hii ikawa kila siku nakaa nae masaa mawili, kazi inakua kutafuta connections za decision makers kwenye kampuni zinazohusika na fani yake, na kuwa inbox wale ambao tayari ameconnect nao. Ilimchukua miezi mitatu yeye kupata kazi kupitia njia hiyo wakati kabla ya hapo alikua ameshasota miaka miwili, aliitwa interview na akaenda na akatusua, na akapewa mkataba. Kwa hiyo usikate tamaa kwa ambao hawajibu, wewe deal na wale ambao watajibu hata kama ni asilimia 20.
Oh okay unaweza nipa hata intro jinsi ya kuandika attractive message niweze Ku win attention ya decision makers
 
Back
Top Bottom