Acha taarab jombaa sijakuuliza jins ya kudownload nmeuliza wapi ntapata setup ya hizo programs zisizohitaji licence keys, watch your tongue kwahiyo nishindwe kujua namna ya kudownload, after all down look me down coz nina knowledge kubwa ya computer kuliko hata hao walizozisomea na kama unashida na programing language kama HTML na zingne usisite kunicheki maana unaonekana muongeaji sana af hujui mambo, neno computet engineer limekuwasha sana au una certificate ya computer ukajifunza kudownload na kuintall VLC unajifanya mtaalam. Usijifanye mtaalam wa computer kumbe nanga tuu, am sure huna utaalam wowote ila kujua kakitu flan ushajifanya mjuaji,