Wakuu habar.
Kuna mtu anataka kuniuzia fjiji Aina ya Von milango miwili. Ni friji dogo.
Sasa sina utaalam na friji na hata muuzaji hafaham linatumia unit ngap Kwa siku.
Mwenye kujua Kwa kuangalia specification hizi anisaidie.View attachment 2028279View attachment 2028280View attachment 2028280
Kwa sababu hawajatoa power consumption we will use rated current and rated voltage to get the power.
Yaan P= V x I..whereby
p= power
V= Voltage
I= Current
Given
V= 220V.. tunachukua hii kwa sababu umeme wetu mara nyingi haufiki 240V
I= 1 A
Hence, P= 220 x 1
Thus P= 220Wats
sasa tunataka kuangalia friji letu linatumiajee umeme according to manufacturer,
Tutaconvert W into KW
1Kw= 1000W
? = 220 W
Thus tutapata 0.22Kw as power consumpution.
Thus power consumption in 1 hr= 0.22 x 1hr
Thus friji lako linatumia unit 0.22 kwa saa
Lakin umeme wa Tanesco unakua charged into KwHrs. Hivyo basi mfano ukiwasha friji hili kwa masaa 12
Then unit zitakua = 0.22kw x 12hrs
= 2.64KwHrs
kwaio kama utaliwasha kwa masaa 12 kwa siku bila kuzima litabugia unit 2.6 kwa siku.
Nawasilisha mkuuu