Msaada uume kutosimama

Msaada uume kutosimama

Wapendwa habari zenu poleni na majukumu ya kila siku,nimekuja mbele zenu nina tatizo naomba ufafanunuzi na ushauri.

Nina mpenzi wangu amepata tatizo ghafla na sasa ni takribani miezi tisa sasa uume wake umekua hausimami ata asubuhi akiamka tumejaribu kwenda hospital amepewa dawa lakini bado hazimsaidii

Jf doctor tunaombeni ushauri wenu atumie nini au aende hospital gani ili arudi katika hali yake ya kawaida?
Natanguliza shukrani za dhati,
Uume hausimami kwamba ni hanithi au?
 
Mimi ningeshauri lakini kiswahili chako unachoandika sikielewi,unandika kama Kisomali mara kama Kikenya.
Akaombe radhi kwa yule mama alietembea naye Mumewe alichukia sana
 
Aliyekwambia uume unasimamaga nani? Basi huo uume hauna miguu tu!
 
Back
Top Bottom