MSAADA: Utukutu wa mtoto wa ndugu yangu unanishinda, anafanya matukio kila kukicha, nifanyaje?

Habarini wana JF. Moja kwa moja kwenye mada kama kichwa hapo juu kinavyojieeleza.

Huyu ni mtoto wa jamaa angu nimeona niandike kwaajili yake, labda tutapata msaada humu ndani maana binafsi nimeshindwa.

Nina mtoto kwa sasa ana umri wa miaka kumi na nne (14) yupo kidato cha kwanza lakini kwa mwenendo wake naona hata kidato cha pili hatoboi, dogo ana matukio ya ajabu sana na tumejitahidi kwa kila njia lakini imeshindikana ntaweka matukio yake kiufupi.

Mwanzo kabisa wakati yupo darasa la tano alikimbia nyumbani hapa, alitoka Pugu mpaka kinyerezi kwa mguu kwa madai hakupendi. Tulijua ni kwa sababu ya utoto tulimtafuta kama siku mbili na kwa msaada wa polisi tulimpata tukapiga kidogo tukaacha.

Akakaa sawa akanza tutesa na tabia ya udokozi wa hela ndogondogo na anakopeleka ni kwenye play station tukamshika tena tukapiga kwa kuhofia ataanza kudokoa hela kubwa kubwa lakin nikama ndo tulikuw tunachochea moto.

Baada ya hapo matukio ni mengi sana hapa katikati ila kwa hili alilofanya kipindi hiki ni hatari zaidi. Ameanza kidato cha kwanza vizuri na kwa matokeo mazuri tu ya shule ya msingi kuanzia mwezi wa 1 mpaka mwezi wa sita matokeo yalikuja mabovu sijawahi ona. Somo alilofaulu sana alikuwa na arobaini nalo ni Kiswahili hayo mengine ni 14, 4.

Aisee ndio kuchukua maamuzi kwenda shuleni kukuta taarifa mtoto ni mtoro sugu, siku alizoingia darasani zinahesabika na kila siku anapewa hela ya shule. Ndio kufatili kwa makini kumbe anashinda chimbo na jamaa yake ambao wanaacha begi na nguo za shule kwa huyo jamaa, wanavaa nguo za nyumbani waneenda ps muda wa kurudi shule wanapitia kwa jamaa anavaa kama alivyoondoka asubuhi na kurudi nyumbani.

Basi hapa tulimkamata, tulipiga sana nusu kuua mpaka Mwalimu Mkuu aliingilia kati akasema hapa amenyoka. Tukampa mwalimu wa kumfatilia walivofungua shule kama wiki mbili tu hivi nikaitwa shuleni kwamba mwanao amekodi wahuni wa mtaani waje kumpiga mwalimu.

Aisee hapa nilipatwa na hasira sana, nilimpiga kiganja kimoja cha maana ndio nikamwambia jieeleze, ndio kuniambia wale wahuni aliwanunulia packet tatu za sigara akawapa na hela ya bangi ili waje kumpiga mwalimu!

Nilikuw najiuliza huyu ni mtoto wa namna gani licha ya mimi utotoni kuwa mtundu lakini kwa huyu mtoto ni zaidi. Mwezi wa 11 nilimpa hela apeleke shule, yeye akala ile hela na alivyogundua nimejua hajapeleka hela shuleni akaja nyumbani akaingia chumbani kwangu akapekenyua hela akabeba elfu hamsini akakimbia, hajalala nyumbani siku mbili, tukamtafuta tukampata.

Tulimpa kipigo kikali, nina jamaa angu polisi nikampigia simu aje amchimbe mikwara, jamaa kweli alikuja mpaka nyumbani na gari ya polisi na badhi ya askari na kule kwenye gari kulikuwa na waharifu waliopigwa na wananchi wamechakaa damu wanapelekwa hospitali nikasema mbebeni na huyu kwa lengo la dogo aogope ajue kichapo kilivyo huko njee na biti za polisi.

Walizunguka nae wakamrudisha jioni hapa alikuwa mpole balaa mpaka kilichotokea hiki sasa mpaka hapa naandika huu uzi huyu mtoto kaiba laki moja na kakimbia toka jana.

Naombeni mnisaidie mbinu gani ni itumie kwa huyu mafia ili akae sawa, kama ni kipigo nimepiga mnoo, ushauri kapewa mpaka na wachungaji lakini bado.

Naona hili nisikio la kufa.
Mkuu nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kumtibia mtoto mtukutu aweze kupona na awe mtoto mzuri .
 
Pole Sana mkuu unaambiwa mtoto usimlee kama mayai akiwa mdogo panapohitaji fimbo mchape sasa ona mlimlea kimayai mayai sasa amabadilika amekuwa jambazi sugu.
Umri wa kumfundisha mtoto na kumuadabisha ni kuanzia Miaka minne na sio kumi na nne hapo unachofanya ni Kujaribu kumkunja samaki wakati sio mbichi Tena.Mungu anatupa watoto wakiwa hawajui chochote Ili tuwapandikize yanayofaa ila tunashindwa.

Pole Sana ombea tu asije geuka kuwa Panya road.
 
Habarini wana JF. Moja kwa moja kwenye mada kama kichwa hapo juu kinavyojieeleza.

Huyu ni mtoto wa jamaa angu nimeona niandike kwaajili yake, labda tutapata msaada humu ndani maana binafsi nimeshindwa.

Nina mtoto kwa sasa ana umri wa miaka kumi na nne (14) yupo kidato cha kwanza lakini kwa mwenendo wake naona hata kidato cha pili hatoboi, dogo ana matukio ya ajabu sana na tumejitahidi kwa kila njia lakini imeshindikana ntaweka matukio yake kiufupi.

Mwanzo kabisa wakati yupo darasa la tano alikimbia nyumbani hapa, alitoka Pugu mpaka kinyerezi kwa mguu kwa madai hakupendi. Tulijua ni kwa sababu ya utoto tulimtafuta kama siku mbili na kwa msaada wa polisi tulimpata tukapiga kidogo tukaacha.

Akakaa sawa akanza tutesa na tabia ya udokozi wa hela ndogondogo na anakopeleka ni kwenye play station tukamshika tena tukapiga kwa kuhofia ataanza kudokoa hela kubwa kubwa lakin nikama ndo tulikuw tunachochea moto.

Baada ya hapo matukio ni mengi sana hapa katikati ila kwa hili alilofanya kipindi hiki ni hatari zaidi. Ameanza kidato cha kwanza vizuri na kwa matokeo mazuri tu ya shule ya msingi kuanzia mwezi wa 1 mpaka mwezi wa sita matokeo yalikuja mabovu sijawahi ona. Somo alilofaulu sana alikuwa na arobaini nalo ni Kiswahili hayo mengine ni 14, 4.

Aisee ndio kuchukua maamuzi kwenda shuleni kukuta taarifa mtoto ni mtoro sugu, siku alizoingia darasani zinahesabika na kila siku anapewa hela ya shule. Ndio kufatili kwa makini kumbe anashinda chimbo na jamaa yake ambao wanaacha begi na nguo za shule kwa huyo jamaa, wanavaa nguo za nyumbani waneenda ps muda wa kurudi shule wanapitia kwa jamaa anavaa kama alivyoondoka asubuhi na kurudi nyumbani.

Basi hapa tulimkamata, tulipiga sana nusu kuua mpaka Mwalimu Mkuu aliingilia kati akasema hapa amenyoka. Tukampa mwalimu wa kumfatilia walivofungua shule kama wiki mbili tu hivi nikaitwa shuleni kwamba mwanao amekodi wahuni wa mtaani waje kumpiga mwalimu.

Aisee hapa nilipatwa na hasira sana, nilimpiga kiganja kimoja cha maana ndio nikamwambia jieeleze, ndio kuniambia wale wahuni aliwanunulia packet tatu za sigara akawapa na hela ya bangi ili waje kumpiga mwalimu!

Nilikuw najiuliza huyu ni mtoto wa namna gani licha ya mimi utotoni kuwa mtundu lakini kwa huyu mtoto ni zaidi. Mwezi wa 11 nilimpa hela apeleke shule, yeye akala ile hela na alivyogundua nimejua hajapeleka hela shuleni akaja nyumbani akaingia chumbani kwangu akapekenyua hela akabeba elfu hamsini akakimbia, hajalala nyumbani siku mbili, tukamtafuta tukampata.

Tulimpa kipigo kikali, nina jamaa angu polisi nikampigia simu aje amchimbe mikwara, jamaa kweli alikuja mpaka nyumbani na gari ya polisi na badhi ya askari na kule kwenye gari kulikuwa na waharifu waliopigwa na wananchi wamechakaa damu wanapelekwa hospitali nikasema mbebeni na huyu kwa lengo la dogo aogope ajue kichapo kilivyo huko njee na biti za polisi.

Walizunguka nae wakamrudisha jioni hapa alikuwa mpole balaa mpaka kilichotokea hiki sasa mpaka hapa naandika huu uzi huyu mtoto kaiba laki moja na kakimbia toka jana.

Naombeni mnisaidie mbinu gani ni itumie kwa huyu mafia ili akae sawa, kama ni kipigo nimepiga mnoo, ushauri kapewa mpaka na wachungaji lakini bado.

Naona hili nisikio la kufa.
Huyo mtoto ana psychiatric disorder: conduct disorder. Labda psychiatrist/ psychologists wanaweza ku deal nae. Wapo muhimbili.
 
Mwanangu alianza tabia ya kushinda kwa mtoto flani ambae niliskia tabia zake ni mbaya nilimwambia asiende kucheza mara 2 siku nikamkuta na yule mtoto aisee zile fimbo haji kusahau... imefika point nikirudi nyumbani akinisalimia anasema leo sijaenda kwa kina flani baba na kweli hata akimuona yule mtoto hataki kabisa kucheza nae ni jamii ya watoto wa pwani wazazi wake matusi ni kama chakula sasa na mtoto wao kawa hivyo.
Hapo kwa wapwani umetukosea Sana

Mana ukisema wapwani

Unatuzungumzia watu tulitoka

Tanga

Dar es salaam

Mtwara

Bagamoyo

Unguja na Pemba

Lindi

Naomba utuombe radhi sio watu wote wa pwani Wana matusi

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa kama hivi enzi nakuwa, lakini kitu kilichosaidia nilihamishwq shule nikapelekwa kusoma kijijini kwa mwaka 1, nilipomaliza uko nikaamia mkoa mwingine tofauti na nilipokuwa naiehi mwanzo nikakutana na watu tofauti kabisa. Hio inaweza saidia sana mtoe mazingira aliyokulia
 
Achaneni nae mna tafuta jambazi la nini ,subirini tu habari wananchi tukiwa tusha choma moto
 
Mpeleke kwa kakobe akaombewe mkuu! Huyo sio yeye ni roho chafu za mashetani zinamsumbua! Akiombewa atakuwa vzr kbisa
Kakobe yupi? Yule mtukutu aliyewagomea tanesco ingali anatumia umeme wao? Kakobe huyuhuyu aliyeufyata enzi ya mwendazake baada ya kuulizwa vyeti vya kuzaliwa vya babu zake?
 
Kwa uzoefu wangu. Nimeishi na mtoto wa kaka yangu. Nimemsomesha shule za English Medium toka la kwanza hadi la saba. Hakuwa anasikia, Hawai kurudi nyumbani, anaenda shule ila haandiki, hafanyi homework, lila siku wa mwisho, sugu, mchafu, ana zurula na kuhangaika kwenye makumba ya watu, anachana nguo na viatu, mkorofi na sifa nyinginezo.

Yule mtoto walimu walimchoka, wakataka wamfukuze nikaenda kumuombea wamvumilie. Nilipiga kila aina ya kipigo ila hakubadilika mpaka pale nilipopata Neema ya kuambiwa anatakiwa aombewe. Hapo ndipo baadi ya vitu vilibadilika kwake.

Hii ni kwanini, hakuna manadamu anazaliwa mbaya au kuwa na tabia mbovu ila kuna Roho ovu zilizopo duniani ambazo zinapelekea awe hivyo. Kwanini wewe na mimi tuwe watu wema ila wengine waovu? Sababu ni Roho ovu zinazomkumba. Anatakiwa aombewe hizo Roho zinholewe. Usimpeleke magereza au kumuacha aingie mtaani. Utamharibu na kumpoteza zaudi. Aombewe huyo bro, utakuja nishukuru.
 
Wazazi wa dar es salaam poleni sana kwakweli,, malezi ya mji huu ni magumu kupita kiasi aise.

Mwanao Kama amemaliza mpaka six akiwa mji huu.

Jipige kifua apo ulipo sema Mimi nimzazi bora,.
 
Habarini wana JF. Moja kwa moja kwenye mada kama kichwa hapo juu kinavyojieeleza.

Huyu ni mtoto wa jamaa angu nimeona niandike kwaajili yake, labda tutapata msaada humu ndani maana binafsi nimeshindwa.

Nina mtoto kwa sasa ana umri wa miaka kumi na nne (14) yupo kidato cha kwanza lakini kwa mwenendo wake naona hata kidato cha pili hatoboi, dogo ana matukio ya ajabu sana na tumejitahidi kwa kila njia lakini imeshindikana ntaweka matukio yake kiufupi.

Mwanzo kabisa wakati yupo darasa la tano alikimbia nyumbani hapa, alitoka Pugu mpaka kinyerezi kwa mguu kwa madai hakupendi. Tulijua ni kwa sababu ya utoto tulimtafuta kama siku mbili na kwa msaada wa polisi tulimpata tukapiga kidogo tukaacha.

Akakaa sawa akanza tutesa na tabia ya udokozi wa hela ndogondogo na anakopeleka ni kwenye play station tukamshika tena tukapiga kwa kuhofia ataanza kudokoa hela kubwa kubwa lakin nikama ndo tulikuw tunachochea moto.

Baada ya hapo matukio ni mengi sana hapa katikati ila kwa hili alilofanya kipindi hiki ni hatari zaidi. Ameanza kidato cha kwanza vizuri na kwa matokeo mazuri tu ya shule ya msingi kuanzia mwezi wa 1 mpaka mwezi wa sita matokeo yalikuja mabovu sijawahi ona. Somo alilofaulu sana alikuwa na arobaini nalo ni Kiswahili hayo mengine ni 14, 4.

Aisee ndio kuchukua maamuzi kwenda shuleni kukuta taarifa mtoto ni mtoro sugu, siku alizoingia darasani zinahesabika na kila siku anapewa hela ya shule. Ndio kufatili kwa makini kumbe anashinda chimbo na jamaa yake ambao wanaacha begi na nguo za shule kwa huyo jamaa, wanavaa nguo za nyumbani waneenda ps muda wa kurudi shule wanapitia kwa jamaa anavaa kama alivyoondoka asubuhi na kurudi nyumbani.

Basi hapa tulimkamata, tulipiga sana nusu kuua mpaka Mwalimu Mkuu aliingilia kati akasema hapa amenyoka. Tukampa mwalimu wa kumfatilia walivofungua shule kama wiki mbili tu hivi nikaitwa shuleni kwamba mwanao amekodi wahuni wa mtaani waje kumpiga mwalimu.

Aisee hapa nilipatwa na hasira sana, nilimpiga kiganja kimoja cha maana ndio nikamwambia jieeleze, ndio kuniambia wale wahuni aliwanunulia packet tatu za sigara akawapa na hela ya bangi ili waje kumpiga mwalimu!

Nilikuw najiuliza huyu ni mtoto wa namna gani licha ya mimi utotoni kuwa mtundu lakini kwa huyu mtoto ni zaidi. Mwezi wa 11 nilimpa hela apeleke shule, yeye akala ile hela na alivyogundua nimejua hajapeleka hela shuleni akaja nyumbani akaingia chumbani kwangu akapekenyua hela akabeba elfu hamsini akakimbia, hajalala nyumbani siku mbili, tukamtafuta tukampata.

Tulimpa kipigo kikali, nina jamaa angu polisi nikampigia simu aje amchimbe mikwara, jamaa kweli alikuja mpaka nyumbani na gari ya polisi na badhi ya askari na kule kwenye gari kulikuwa na waharifu waliopigwa na wananchi wamechakaa damu wanapelekwa hospitali nikasema mbebeni na huyu kwa lengo la dogo aogope ajue kichapo kilivyo huko njee na biti za polisi.

Walizunguka nae wakamrudisha jioni hapa alikuwa mpole balaa mpaka kilichotokea hiki sasa mpaka hapa naandika huu uzi huyu mtoto kaiba laki moja na kakimbia toka jana.

Naombeni mnisaidie mbinu gani ni itumie kwa huyu mafia ili akae sawa, kama ni kipigo nimepiga mnoo, ushauri kapewa mpaka na wachungaji lakini bado.

Naona hili nisikio la kufa.

Pole mkuu

Kijana ana ugomvi na umasikini, keshaona shule haitomsaidia. Mpe support afanye biashara
 
Kwakweli mwenyewe hata nashindwa kuelewa kilitokea Nini, maana baada ya kelele kuzidi nyumbani Baba aliondoka nae walienda nae kwa baba zake wakubwa na wadogo huko after one month walirudi akiwa mtulivu Hadi siku anaenda shule Yuko smart.. Hakuna aliyetuambia Nini kilifanyika, sio Mzee Wala dogo mwenyewe 😃😃😃.. Ila huko alikoenda wote ni wanajeshi nadhani walimnyoosha vizuri Sana 😂😂🙌
Au ndiyo aliambiwa jibebe?!

Hizi adhabu nyengine sijui wanazitolea wapi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom