bandubandu
Senior Member
- Dec 19, 2010
- 102
- 28
Ndg zangu naomba msaada,juzi nimepima malaria nikakutwa nayo 2,nikaanza matibabu ya cndano 5 za artem,pamoja na declopar kwa ajili ya maumivu maana mwili ulikuwa unamaumivu makali sana,jana nimerudi hospitali kuchoma cndano nikaomba kupima mkojo maana maumivu ya mwili yalikuwa makali sna,majibu yalionyesha nana UTI hivyo dk akaniandikia dose ya cpro yaani vdong 10 kwa muda wa cku 5 yaan 1*2 je hii ni sawa?jambo jingine je UTI inaweza sababisha maumivu ya tumbo hasa sehemu ya juu karibu na chembe moyo na tu