doama
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 808
- 650
Naombeni kujulishwa kwa wale wataalam wa IT mbona bundle ya Vodacom inaisha haraka kuliko ya Halotel. Nimetumia line ya halotel kwa miezi mitatu sasa nikinunua mb 500 ambazo zinaisha kwa muda wa siku nzima.
Juzi naona mtandao wa halotel upo slow sana sijui wamekumbwa na maswaibu gani, nikahamua kushift kwenda mtandao wa voda.
Sasa tangu jana nimeshatumia mb 3,000 Ndo napatashaka labda kutumia voda kwenye Internet consumption ya mb ni sawa na mtu anayeendesha gari yenye injini ya V8 kama yale mashangingi au tofauti ipo wapi mbona mb zake zinaisha kasi sana kuliko za halotel
Juzi naona mtandao wa halotel upo slow sana sijui wamekumbwa na maswaibu gani, nikahamua kushift kwenda mtandao wa voda.
Sasa tangu jana nimeshatumia mb 3,000 Ndo napatashaka labda kutumia voda kwenye Internet consumption ya mb ni sawa na mtu anayeendesha gari yenye injini ya V8 kama yale mashangingi au tofauti ipo wapi mbona mb zake zinaisha kasi sana kuliko za halotel