Wadau,
Kweli awamu hii yetu wote
Nimepitia ukurasa wa Vodacom intaneti packages, nikakutana na hii, inamaanisha ukijichanganya ukaweka kivocha chako cha jero hujazima data, hakichukutachukua hata dakika mbili
Hawa jamaa nafikiri ndo wenye gharama kubwa zaid kushinda mtandao wowote hapa TZ, pamoja na kwamba vifurushi vya Halotel ni moto sasa hivi, ila grahama zao ambazo ni Tsh 30.72 kwa MB ni nafuu mara 9 zaid ya vifurushi vya Vodacom.
Bado kidogo malaika anashuka ..! Inaonyesha ameenza kufanya mazoezi Voda kwanza. !
Sijui kuhusu mitandao mingine, kama kuna mwenye vyanzo kwa mitandao mingine atujuze, hawajaweka kwa website zao.
Hilo tu nimependa kuwafahamisha .!
Kweli awamu hii yetu wote
Nimepitia ukurasa wa Vodacom intaneti packages, nikakutana na hii, inamaanisha ukijichanganya ukaweka kivocha chako cha jero hujazima data, hakichukutachukua hata dakika mbili
Hawa jamaa nafikiri ndo wenye gharama kubwa zaid kushinda mtandao wowote hapa TZ, pamoja na kwamba vifurushi vya Halotel ni moto sasa hivi, ila grahama zao ambazo ni Tsh 30.72 kwa MB ni nafuu mara 9 zaid ya vifurushi vya Vodacom.
Bado kidogo malaika anashuka ..! Inaonyesha ameenza kufanya mazoezi Voda kwanza. !
Sijui kuhusu mitandao mingine, kama kuna mwenye vyanzo kwa mitandao mingine atujuze, hawajaweka kwa website zao.
Hilo tu nimependa kuwafahamisha .!
Last edited: