Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,861
- 828
mkuu nunua galaxy s4 simu bomba
Nilikuwa na Nokia Lumia lakini imeharibika button ya kuzimia/kuwashia iliyoko pembeni kulia ndani ya miezi 6 toka nimenunua.
Nahitaji kunua smart phone durable na yenye longer battery life. Japokuwa smart phone zina matatizo ya kuisha betri haraka lakini naamini ziko zenye unafuu.
Mbona inaonekana unataka kurudia kosaa ? Ulinunua Lumia
Please kwa mnaoelewa mnijuze
Asanteni.
mkuu nunua galaxy s4 simu bomba
Hizi nyingi fake af wanaiga vitu kwenye iphone
Sent from my iPhone 5 using JamiiForums