umesema una nyumba ya kupangisha na wapangaji saba..
~Bila shaka unalipia Mapato,MAJI taka na ukarabati Mdogo mdogo
~angalia madhumuni ya kuwa na hiyo nyumba ni kama 'assets' kwako au ni 'liability'
Ushauri: kama hiyo nyumba ni assets kwako na iko centre na hujambembeleza mpangaji aje apange kwako na vipato wanavyo;WATIMUE wote...
'baba mwenye nyumba ukiwa zezeta wapangaji wako lazima wakutie madole'