MSAADA/USHAURI: Jina zuri la ''a baby boy''!

MSAADA/USHAURI: Jina zuri la ''a baby boy''!

huu uzembe wa kufikiri,kuna siku mtaomba hadi ushauri wa naniliiiiiiiiiiiiiiiii
 
chipwilu, ama chibwade ukimwita jina hilo nakuakikishia hafi maskini unataka jua kwann?
 
ukawa lingependeza zaidi

Mbowe jina la kwanza ni Freeman kwa kuwa alizaliwa wakati nchi ikipata uhuru, Kenyatta Jr. ni Uhuru kwa kuwa mzee alimpata kwenye Kenya huru, leo tuna kina Obama Jr. wengi tu baada ya Baba Sasha kuingia White House..kwa sababu hiyo basi napendekeza huyu bwana mdogo aitwe katiba ama maandamano bila kikomo maana hii ndiyo habari ya mujini!
 
Hongera! Cku zote mtoto n baraka ba furaha ktk family na hata kwa jamii inayokuzunguka. Jina la mtoto tafuta kitabu cha majina na maana zake mpe chafua jina kulingana na maana mpe mtoto wako. Majina yana maana sana katika maisha yetu.
 
Back
Top Bottom