hahahaha,,,gud of ui am also very common......
aaaaaaaaaah Binamu naona hiyo baba Gift inakufaa ..lakini Gift linafaa upande wa kike au wa Kiume??
ghafla baba Gift...hhahahahha...baba Gift
sasa babu yake ni Retired Maj Gen DC (1947).Huyu mdogo wetu ana matatizo...mimi nilishani anahangaika sasa hivi kuweka mambo sawa kwa shopping na vitu kama hivyo kumbe pressure iko kwenye jina....Kwani mtoto hana babu?
sasa babu yake ni Retired Maj Gen DC (1947).
hayupo mjiini
you can say that again and again and againWewe nawe...
Kwani mtoto anakuwa na babu mmoja? Kuna baba yake baba, baba yake mama, baba yake binamu etc..Ikishindikana si unamtafuta jirani yake na baba au rafiki yake babu?
Au ndo mambo ya hamu ni tamu kuliko tamu yenyewe...I can now understand!
you can say that again and again and again