MSAADA/USHAURI: Jina zuri la ''a baby boy''!

MSAADA/USHAURI: Jina zuri la ''a baby boy''!

HA HA HA HA!
zawadi ni zawadi wajameni.....

iwe ya kike au ya kiume
 
mh!kazi ipo,mara hii umeshakuwa tena baba Gift! its too common anyway
 
aaaaaaaaaah Binamu naona hiyo baba Gift inakufaa ..lakini Gift linafaa upande wa kike au wa Kiume??

Linafaa upande wa kike ila naona bado atakuwa anafanya predictions kwanza kuona atatoka yupi HE/SHE
 
ghafla baba Gift...hhahahahha...baba Gift

Huyu mdogo wetu ana matatizo...mimi nilishani anahangaika sasa hivi kuweka mambo sawa kwa shopping na vitu kama hivyo kumbe pressure iko kwenye jina....Kwani mtoto hana babu?
 
Huyu mdogo wetu ana matatizo...mimi nilishani anahangaika sasa hivi kuweka mambo sawa kwa shopping na vitu kama hivyo kumbe pressure iko kwenye jina....Kwani mtoto hana babu?
sasa babu yake ni Retired Maj Gen DC (1947).

hayupo mjiini
 
Huyu mdogo wetu ana matatizo...mimi nilishani anahangaika sasa hivi kuweka mambo sawa kwa shopping na vitu kama hivyo kumbe pressure iko kwenye jina....Kwani mtoto hana babu?
mkuu,
kesho naenda MUMMY kuvuta mzigo wa pili
 
Baba Gift
JF Premium Member

Join Date
Fri Jan 2009
Location
COUNTER


Name calling....
 
sasa babu yake ni Retired Maj Gen DC (1947).

hayupo mjiini

Wewe nawe...

Kwani mtoto anakuwa na babu mmoja? Kuna baba yake baba, baba yake mama, baba yake binamu etc..Ikishindikana si unamtafuta jirani yake na baba au rafiki yake babu?

Au ndo mambo ya hamu ni tamu kuliko tamu yenyewe...I can now understand!
 
GABRIEL - ni jina zuri la kikristo na ni malaika mlinzi na wa amani.
i like that.
 
Wewe nawe...

Kwani mtoto anakuwa na babu mmoja? Kuna baba yake baba, baba yake mama, baba yake binamu etc..Ikishindikana si unamtafuta jirani yake na baba au rafiki yake babu?

Au ndo mambo ya hamu ni tamu kuliko tamu yenyewe...I can now understand!
you can say that again and again and again
 
you can say that again and again and again

Hutaki....Hebu kwanza tueleze kama ni kweli au siyo kweli....Unaweza kufanya reference kwenye ile projekiti yetu ya Feburary 2010....LOL!!:tape:
 
Baba Gift!................:tape::nono::nono::nono:
 
Back
Top Bottom