Msaada usafiri Dar to Mbeya

Msaada usafiri Dar to Mbeya

Joumar

Member
Joined
Oct 29, 2015
Posts
48
Reaction score
45
Jumapili iwe njema kwenu wakuu, siku za hivi karibuni natarajia kwenda Mbeya kwa mapumziko madogo, je, ni kampuni gani nzuri na uhakika ya mabasi kwenda huko.
Karibuni
 
Dar lux, Panda transport new force, jombaa pande hiyo magari mazuri ni mengi mno
 
Kuna Golden deer no 1 inaenda hadi TUNDUMA na Kizbo inaishia Mbeya kama unataka kuwahi kufika. Ila kama unataka kufika muda wowote panda basi lolote la Mbeya
 
Dar lux

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Golden deer no 1 inaenda hadi TUNDUMA na Kizbo inaishia Mbeya kama unataka kuwahi kufika. Ila kama unataka kufika muda wowote panda basi lolote la Mbeya
Asante mkuu kwa ushauri
 
golden deer ni nzuri na inawahi kufika.ni nzuri ukikosa panda basi linaitwa panda Transport,ama Dar lux,mengine hayo yanausumbufu mkubwa,karibu mbeya


Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
Dar lux ni bus zuri sana
Ndege ya Ardhini,hutojutia pesa yako,nilipanda hili nilipokuja Mbeya hivi karibuni na nategemea kutumia usafiri huu nitakaporudi Dar.

DAR lux hakika amebadilisha haduma za kawaida na hovho zilizokuwa zinatolewa na ma bus mengi katoka njia ya hii ya Dar - Mbeya hadi Tunduma.

Ila uwahi kukata ticket mana hili bus linagombaniwa na hujaa mapema.

Mfano leo saa nane bus linaloondoka kesho kwenda Dar lilikuwa limeshajaa,na la Jumanne lina nafasi chache.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom