kwa upande wangu naona kimya mkuu...uliomba nafasi gani?!Mwenye taarifa za kazi za access bank ambazo dead line yake ilikuwa tarehe 20 mwezi uliopita.
niliomba iyo pia...naona tusubiri kama kuna lolote tutajulishanaNiliomba junior customer support officer mkuu.
Hee watu washaanza kuitwa interview..jana tumefanya interview ya kuandika pale hq post ya sale representative tunasubir majib...kama hujaitwa jua hukubahatika...watu washaanza kufanya interview na wamesema watawapigia simu watakaoingia next step..Mwenye taarifa za kazi za access bank ambazo dead line yake ilikuwa tarehe 20 mwezi uliopita.
siku hiz kazi access bank nazo ni za kuomba?
kweli hali ngumu kitaa
nyie mlipata taarifa kwa njia ipi mkuu?!Hee watu washaanza kuitwa interview..jana tumefanya interview ya kuandika pale hq post ya sale representative tunasubir majib...kama hujaitwa jua hukubahatika...watu washaanza kufanya interview na wamesema watawapigia simu watakaoingia next step..
Daah!!!Hee watu washaanza kuitwa interview..jana tumefanya interview ya kuandika pale hq post ya sale representative tunasubir majib...kama hujaitwa jua hukubahatika...watu washaanza kufanya interview na wamesema watawapigia simu watakaoingia next step..
usivunje moyo ..piga konde..apply tna pengine maisha husongaDaah!!!
Tulipigiwa simu kuna written interviewnyie mlipata taarifa kwa njia ipi mkuu?!