Msaada upatikanaji wa korosho Dar

Msaada upatikanaji wa korosho Dar

Realme

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
214
Reaction score
155
Nahitaji korosho kwa wingi kwa bei ya jumla. Nitapata wapi kwa hapa Dar es salaam? Huwa naziona madukani na kwa machinga lakini sifahamu wanazijumua wapi. Naomba msaada wa taarifa kwa anayefahamu.
 
toa offer unayoweza kununua i mean price per kilo pamoja na idadi unayoweza nunua. . .PM for further details.
 
Back
Top Bottom