Ni kisa kimetokea kwa kaka mmja jiran yangu..kimetushangaza kwa kweli na huyu kaka kaniomba nimshauri nikaona penye wengi haliharibik jambo..
Ni mwaka wa kumi wameoana na mkewe hawakufunga ndoa.wana watoto wawili wa kiume maisha yao yalikuwa yakutokuelewana flani kati ya mume na mke (hata ss majiran tulilifahamu hili) mwaka juzi huyu mume kutokana na kero za mkewe alimua kuoa mke mwingine ambaye hawakufunga ndoa pia wanaishi vizuri na wana mtoto nae mmoja.
Kutokana na huyu jamaa kuowa mke mwingne nyumban kwake pakawa hapakaliki kutokana na fujo na vurugu za huyo mkewe wa kwanza.
Jamaa akaona isiwe shari akampa mkewe mtaji mkubwa tu kaanza kufanya biashara namwanaume kaamishia majeshi kwa bi mdogo kaweka makazi.
Mwaka jana december huyu jamaa alisafiri kikazi nje ya nchi..aliporudi akakuta huyo mkewe mkubwa kaolewa nakijana mdogo kahama na mji kakomba na vitu vyote kaacha watoto peke yao.
Kaolewa na dogo dogo tena mume wa mtu katelekeza mkewe na kitoto kichanga(maelezo ya mwenye mume aliyekimbia)
Huyu jamaa yeye ananiambia hana shida na mkewe huyo lakini je anaweza fanya nini kisheria oli badae huyo mwanamke asijedai chake hapo kwake?kozi kashachukua vitu ndani na mtaji kabeba..
Msaada pls
Ni mwaka wa kumi wameoana na mkewe hawakufunga ndoa.wana watoto wawili wa kiume maisha yao yalikuwa yakutokuelewana flani kati ya mume na mke (hata ss majiran tulilifahamu hili) mwaka juzi huyu mume kutokana na kero za mkewe alimua kuoa mke mwingine ambaye hawakufunga ndoa pia wanaishi vizuri na wana mtoto nae mmoja.
Kutokana na huyu jamaa kuowa mke mwingne nyumban kwake pakawa hapakaliki kutokana na fujo na vurugu za huyo mkewe wa kwanza.
Jamaa akaona isiwe shari akampa mkewe mtaji mkubwa tu kaanza kufanya biashara namwanaume kaamishia majeshi kwa bi mdogo kaweka makazi.
Mwaka jana december huyu jamaa alisafiri kikazi nje ya nchi..aliporudi akakuta huyo mkewe mkubwa kaolewa nakijana mdogo kahama na mji kakomba na vitu vyote kaacha watoto peke yao.
Kaolewa na dogo dogo tena mume wa mtu katelekeza mkewe na kitoto kichanga(maelezo ya mwenye mume aliyekimbia)
Huyu jamaa yeye ananiambia hana shida na mkewe huyo lakini je anaweza fanya nini kisheria oli badae huyo mwanamke asijedai chake hapo kwake?kozi kashachukua vitu ndani na mtaji kabeba..
Msaada pls