Msaada: Ulanga iko wapi?

Msaada: Ulanga iko wapi?

Hapa ukifuata ushauri wa wengine unaweza kujikuta uko Congo Ulanga na Mwanza mnafika sawa??
 
C kwel Dar mwanz ni mbal

Jitahidi kuandika vizuri dogo hapa si facebook,ni great thinkers palace. Kukusaidia aliyesema anayetoka Dar to Mwanza na Dar to Mahenge (Ulanga) wanaweza kufika pamoja ni kwa sababu ya logistics
siyo umbali. Ukitoka Mahenge asubuhi ya saa kumi na mbili unafika Dar saa kumi tena hapo kama mvua hazinyeshi.
 
hivi siku hizi jiografia haifundishwi shule za msingi? wilaya kongwe iliyopo mkoa kongwe kama Morogoro mtu hawezi kuwa hajui ilipo maadamu umesoma na kuhitimu elimu ya msingi Tanzania hii.

jina lake umeliona
 
Ulanga District Council.png Ulanga District (Mahenge District) is one of the six districts of the Morogoro Region of Tanzania. the administrative seat is in Mahenge. It covers 24,460 square kilometres (9,444 sq mi) of which 4,927 square kilometres (1,902 sq mi) is in forest reserves. Ulanga District is bordered to the north and west by the Kilombero District, to the east by the Lindi Region and to the south by the Ruvuma Region.
 
Dar- moro kuna km umbali wa Kilometa 180....na Moro- Mahenge umbali wa kilomita kama 280 hivi...kwahiyo siyo sawa na kutoka dar kuenda Mwanza. Dar hadi mwanza kuna umbali kama wa kilometa 825 hivi
 
swali zuri sana ndg. angekuwa anauliza wilaya kama bukombe au kilindi sawa lakn ulanga? yaan ukilaza wake umezidi! RIP elimu ya tz
 
hivi siku hizi jiografia haifundishwi shule za msingi? wilaya kongwe iliyopo mkoa kongwe kama Morogoro mtu hawezi kuwa hajui ilipo maadamu umesoma na kuhitimu elimu ya msingi Tanzania hii.

yaani naona aibu mimi!
 
Karibu Ulanga Rubi zilikozaliwa,mabasi ya huku ni ya kigumu tu lakini kwakuwa ajira ngumu,vumilia tu.
 
Last edited by a moderator:
Hizi aibu nyingine ndio kufaulu bila kujua kusoma na kuandika ama nini
Labda mwenzetu ni mcomoro!
 
Back
Top Bottom