Habari wana JF,
Mimi ni kijana wa miaka 26 nimekuja kwenu wana JF ili niweze kupata elimu na kunifungua akili juu ya wazo nililo nalo na wapi pa kuanzia
Nimejipanga kuanza shughuli za ufugaji wa mbuzi wa nyama ni kitu ambacho sijawahi kufanya hapo kabla hivo nahitaji msaada wa mawazo, ushauri, na pia mbinu za kuweza kulifikia lengo langu.
Kwa wale ambao wangependa kutoa ushauri kulingana na geographical area mimi ni mkazi wa kibaha na shughuli hyo ya ufugaji ninataka kuifanyia maeneo ya huku huku kibaha kutokana na uwepo wa eneo la kutosha la kuweza kufanya hilo napenda kuwasilisha kwenu wana JF kupata msaada wenu wa mawazo.
Mimi ni kijana wa miaka 26 nimekuja kwenu wana JF ili niweze kupata elimu na kunifungua akili juu ya wazo nililo nalo na wapi pa kuanzia
Nimejipanga kuanza shughuli za ufugaji wa mbuzi wa nyama ni kitu ambacho sijawahi kufanya hapo kabla hivo nahitaji msaada wa mawazo, ushauri, na pia mbinu za kuweza kulifikia lengo langu.
Kwa wale ambao wangependa kutoa ushauri kulingana na geographical area mimi ni mkazi wa kibaha na shughuli hyo ya ufugaji ninataka kuifanyia maeneo ya huku huku kibaha kutokana na uwepo wa eneo la kutosha la kuweza kufanya hilo napenda kuwasilisha kwenu wana JF kupata msaada wenu wa mawazo.