Michael Paul
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 403
- 319
Wakuu.. Heshima mbele,
Nina Computer (Acer, RAM 4GB, Processor AMD 2.4GHz) ina dual boot ya win7 na Ubuntu 11.04 but nashangaa bila sababu za msingi kila ninapojaribu ku log in kwenye ubuntu keys hazifanyi kazi! but Ctrl+Alt+Del inakubali... na kwenye windows 7 keys hazina shida kabisa... Tafadhali msaada...
Nina Computer (Acer, RAM 4GB, Processor AMD 2.4GHz) ina dual boot ya win7 na Ubuntu 11.04 but nashangaa bila sababu za msingi kila ninapojaribu ku log in kwenye ubuntu keys hazifanyi kazi! but Ctrl+Alt+Del inakubali... na kwenye windows 7 keys hazina shida kabisa... Tafadhali msaada...