Muda mwingine hua sio Taa , unakuta tu Kuna capacitor imeungua, Mimi natumia Hisense na tatizo Hilo limenitokea Mara 3 ndani ya miaka 5, hasa kipindi umeme unakatika na kurudi. Hapo ni kutafuta fundi mzuri tu
Go for TCL kama una hela, achana na Hisense nmetumia mpaka imeniboa TVs zao ziko limited kwenye ku customize features afu zina tabia ya kufreeze, hii ViDAA yao ya kiwaki..
Go for TCL kama una hela, achana na Hisense nmetumia mpaka imeniboa TVs zao ziko limited kwenye ku customize features afu zina tabia ya kufreeze, hii ViDAA yao ya kiwaki..