Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,880
- 2,758
Wadau kuna haya majina kama halmashauri na manispaa. Huwa nayasikia haya maneno ila sijafahamu kwa uzuri matumizi na mipaka yake kisiasa. Tuelewesheni. Pia neno rasimu, au inawezekana kiswahili kigumu