Damidizzo
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 399
- 170
Habari za wakati huu waungwana.
Kuna wadau wanajishughulisha na uuzaji wa pikipiki used pale Mbagala Zakhem mkabala na bank ya Amana na wanadai wanatoa documents zote ukinunua pikipiki kwao.
Sasa nilitaka kujua ni salama kiasi gani au kama kuna mtu alishawahi kufanya nao biashara maana nilitaka kununua pikipiki kwao kwa ajili ya biashara ya bodaboda.
Natanguliza shukrani na nitaheshimu mchango wa kila mmoja.🙏
Kuna wadau wanajishughulisha na uuzaji wa pikipiki used pale Mbagala Zakhem mkabala na bank ya Amana na wanadai wanatoa documents zote ukinunua pikipiki kwao.
Sasa nilitaka kujua ni salama kiasi gani au kama kuna mtu alishawahi kufanya nao biashara maana nilitaka kununua pikipiki kwao kwa ajili ya biashara ya bodaboda.
Natanguliza shukrani na nitaheshimu mchango wa kila mmoja.🙏