Msaada Tutani

mwamba c

JF-Expert Member
Jan 2, 2017
690
2,361
Habarini
Naomba kuuliza kwa mkoa wa mwanza ni hospitali gani naweza kupata vipimo vikubwa vya HIV ?
Lengo la kuuliza ni kutokana na matokeo tofaut ninayoyapata kwa mdogo wangu aliepata ajali miaka miwili iliyopita.Mpaka sasa mdogo wangu kashapima zaidi ya mara sita lkn majibu hayaji ya kufanana bali yanakuja tofaut kila anapopima kwa kutumia vipimo vya Bioline.Vipimo hivi vimeleta majibu ya positive mara mbili na negative mara nne.Je ni hospital gan kwa mwanza naweza pata vipimo vikubwa visivyo na utata?
Asanteni,kumradhi siitaji matusi wala kejeli tatizo lipo siriaz xana,damu nzto kuliko maji nna uchungu ndio maana natafuta msaada ea kuweza kumsaidia mdogo wangu
 
Natumaini watakusaidia Mkuu, vipimo kama Uni-Gold ni ngumu sana kupata kwa mikoani.

Na matokeo yake bado yanaonyesha possibility ya yeye kuwa Negative.
 
Habarini
Naomba kuuliza kwa mkoa wa mwanza ni hospitali gani naweza kupata vipimo vikubwa vya HIV ?
Lengo la kuuliza ni kutokana na matokeo tofaut ninayoyapata kwa mdogo wangu aliepata ajali miaka miwili iliyopita.Mpaka sasa mdogo wangu kashapima zaidi ya mara sita lkn majibu hayaji ya kufanana bali yanakuja tofaut kila anapopima kwa kutumia vipimo vya Bioline.Vipimo hivi vimeleta majibu ya positive mara mbili na negative mara nne.Je ni hospital gan kwa mwanza naweza pata vipimo vikubwa visivyo na utata?
Asanteni,kumradhi siitaji matusi wala kejeli tatizo lipo siriaz xana,damu nzto kuliko maji nna uchungu ndio maana natafuta msaada ea kuweza kumsaidia mdogo wangu

Kulikuwa hakuna haja ya kuongelea ajali, maana issue sio ajali au amepataje, issue ni kupima, mimi mwanza ni mgeni, wanakuj!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom