msaada tutani.plz

darshan

Member
Apr 29, 2013
46
6
mamboz.....hv unatumia mbinu gn kumsoma mtu na kujua anajari,anakuheshimu ,kukupenda kweli???????
 
mamboz.....hv unatumia mbinu gn kumsoma mtu na kujua anajari,anakuheshimu ,kukupenda kweli???????

siku hizi mambo yamebadilika ,mapenzi/mahusiano yanachukuliwa kama uwanja wa mapambano vita kwa hiyo hata mbinu zimebadilika,yote ktk yote uhusiano mzuri na wa kuduma uatajengwa na utii na upendo bila shurti kwa pande zote mbili,kuaminiana,na kupanda kabla ya kuvuna(hapa namaaisha kile kiwango cha upendo unachotaka kukiona kutoka kwa mwenzio ukioneshe kwanza!
 
siku hizi mambo yamebadilika ,mapenzi/mahusiano yanachukuliwa kama uwanja wa mapambano vita kwa hiyo hata mbinu zimebadilika,yote ktk yote uhusiano mzuri na wa kuduma uatajengwa na utii na upendo bila shurti kwa pande zote mbili,kuaminiana,na kupanda kabla ya kuvuna(hapa namaaisha kile kiwango cha upendo unachotaka kukiona kutoka kwa mwenzio ukioneshe kwanza!

asatheeeee
 
Back
Top Bottom