Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,524
- 5,782
Habari za leo wafanyabiashara
Naomba kujua naweza kupata wapi soko la mercury hapa nchini, Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla.
Pia, kama una connection ya buyers/wanunuaji wa Mercury tafadhali tupeane connection na pia unipe information kwa ujazo upi mercury hio inanunuliwa na zaidi mwisho wa siku tukifanikiwa kuuza tutagawana pesa itakayopatikana.
Naomba kujua naweza kupata wapi soko la mercury hapa nchini, Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla.
Pia, kama una connection ya buyers/wanunuaji wa Mercury tafadhali tupeane connection na pia unipe information kwa ujazo upi mercury hio inanunuliwa na zaidi mwisho wa siku tukifanikiwa kuuza tutagawana pesa itakayopatikana.