Msaada tutani: Nitapata wapi soko la Mercury?

Msaada tutani: Nitapata wapi soko la Mercury?

Airmanula

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
3,524
Reaction score
5,782
Habari za leo wafanyabiashara

Naomba kujua naweza kupata wapi soko la mercury hapa nchini, Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla.

Pia, kama una connection ya buyers/wanunuaji wa Mercury tafadhali tupeane connection na pia unipe information kwa ujazo upi mercury hio inanunuliwa na zaidi mwisho wa siku tukifanikiwa kuuza tutagawana pesa itakayopatikana.
 
Habari za leo wafanyabiashara

Naomba kujua naweza kupata wapi soko la mercury hapa nchini, afrika mashariki na afrika kwa ujumla.

Pia kama una connection ya buyers/wanunuaji wa Mercury tafadhali tupeane connection na pia unipe information kwa ujazo upi mercury hio inanunuliwa na zaidi mwisho wa siku tukifanikiwa kuuza tutagawana pesa itakayopatikana.
Nakushauri nenda maduka ya kuuzia madini yamefunguliwa karibu kila mkoa...kama hujui taja mkoa ulipo wadau watakuelekeza lilipo duka...
Vinginevyo ukiendelea na mjadala utajulikana wazi ni walewale..kama wadau walivyoanza kukuashiria taa nyekundu.
 
Nakushauri nenda maduka ya kuuzia madini yamefunguliwa karibu kila mkoa...kama hujui taja mkoa ulipo wadau watakuelekeza lilipo duka...
Vinginevyo ukiendelea na mjadala utajulikana wazi ni walewale..kama wadau walivyoanza kukuashiria taa nyekundu.
watu wenye akili za kimasikini hawanisambui mkuu..nitatafuta duka la madini eneo nililopo asante kwa muongozo
 
Sawa tajiri, ni bora kuwa masikini kuliko kuwa tajiri aliekosa maarifa.
unayajua maarifa wewe?...maarifa ni yule aliyenishauri kutafuta soko la madini, sasa wewe maskini unaekimbilia kuwaza utapeli au kupigwa nawe utaajita mtu anayefikiri kwa kutumia ubongo uliopewa vizuri
 
unayajua maarifa wewe?...maarifa ni yule aliyenishauri kutafuta soko la madini, sasa wewe maskini unaekimbilia kuwaza utapeli au kupigwa nawe utaajita mtu anayefikiri kwa kutumia ubongo uliopewa vizuri

Hahaha pole sana chief.. kwa hili povu hata hiyo Zebaki utaweza kuihifadhi vizuri kweli? licha tu ya kuipata?
 
Kama ni industrial Mercury hyo kupata wateja Haina shida we sema una kiasi gani nipm ILA Kama ni hizi mnaita red Mercury hyo ni myth mkuu hamna kitu Kama red Mercury nakuomba usije ukapoteza muda wako na hata nauli yako kutafuta mnunuzi
 
Habari za leo wafanyabiashara

Naomba kujua naweza kupata wapi soko la mercury hapa nchini, Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla.

Pia, kama una connection ya buyers/wanunuaji wa Mercury tafadhali tupeane connection na pia unipe information kwa ujazo upi mercury hio inanunuliwa na zaidi mwisho wa siku tukifanikiwa kuuza tutagawana pesa itakayopatikana.
Nenda machimbo ya dhahabu, ila tambua ni kosa kisheria kuuza kama ubuyu au umachinga kama unavyofanya
 
Habari za leo wafanyabiashara

Naomba kujua naweza kupata wapi soko la mercury hapa nchini, Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla.

Pia, kama una connection ya buyers/wanunuaji wa Mercury tafadhali tupeane connection na pia unipe information kwa ujazo upi mercury hio inanunuliwa na zaidi mwisho wa siku tukifanikiwa kuuza tutagawana pesa itakayopatikana.
NJOO inbox Mkuu, nikuunganishe na Buyer wa Uhakika, buyer anakufata pale ulipo...

Mradi uwe na Mzigo Serious na sio kupotezeana muda kwa mambo ya Utaperi, coz hakuna Style mpya ya Utaperi kwenye hizo Mambo nisizojua...

So uko na Mzigo Seriously Karibu pm... I have a really buyer! Ni Cash...
 
Kama ni industrial Mercury hyo kupata wateja Haina shida we sema una kiasi gani nipm ILA Kama ni hizi mnaita red Mercury hyo ni myth mkuu hamna kitu Kama red Mercury nakuomba usije ukapoteza muda wako na hata nauli yako kutafuta mnunuzi
nitakucheki na pia asante kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom