X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,692
- 12,287
inafaa...sanaNa point point hapo kama 1990 hv?
inafaa...sanaNa point point hapo kama 1990 hv?
hapanaUnawenyeji huko mkuu?
Shukrani Mkuu 🙏🙏🙏Nashukuru sana kwa mchango wako mkuu.
Mkuu jaribu kuipeleka kwenye minada maana kuanzia Manyara hadi Singida minada inaanza tarehe Moja hadi mwisho wa mwezi ivyo huwezi kukosa abiria hasa wafanya biashara maana saivi magari ya mizigo ayaluhusiwi kubeba wafanya biashara ivyo lazima mfanya biashara awe na gari la kumpeleka kwenye Mnada
Tunasubiri majibu kiongoziMkuu minada ya huko ni amsha amsha kweli yaani kuna biashara.? Na ni bidhaa zipi zinatoka sana kwenye hiyo minada?
Nashukuru sana, mkubwa.Nenda shule za mjini kama upo Dar, mfano wa Zanaki, Diamond na Upanga ufanye kazi ya kusanya wanafunzi (School bus) kulingana na eneo unaloishi. Kila kichwa 50,000 mpaka 60,000. Ukipata wanafunzi wako 10 una ajira ya maana.
Jioni baada ya kumaliza kurudisha wanafunzi unaenda kutega posta unakula vichwa vya Gongolamboto au Mbagala.
Hizo plan za hapo juu ni kama ni mkazi wa Dar.
Ni kweli kiongoziHuko Nzega-Kahama hazisajiliwi tena kubeba abiria toka ile ajali iliyoua 18 pale Tinde 2016 ikihusisha Noah na Semi
AJALI YA NOAH NA LORI ENEO LA TINDE MKOANI SHINYANGA YAACHA MAJONZI.
BMG ONLINE TVwww.bmgblog.co.tz
Ila zipo nyingi zikibeba kwa namba za njano kwa hiyo ni mwendo wa kutoa kidogo kila ukisimamishwa na traffic.
Manual ama Auto siyo issue maana hata Probox na Alphard kwa sasa zinapiga route huko.
Mkuu nipe details zilizoshiba hapaKomaa Hapo hapo Dar
Msumi Muhimbili=5000×10=50,000
Ukirudi unapata kama hiyo.
Unapiga alfajiri na jioni.
Jumla 200,000
Ukitoa gharama zako......uongo.....hukosi......
Imekaa vzuriMkuu jaribu kuipeleka kwenye minada maana kuanzia Manyara hadi Singida minada inaanza tarehe Moja hadi mwisho wa mwezi ivyo huwezi kukosa abiria hasa wafanya biashara maana saivi magari ya mizigo ayaluhusiwi kubeba wafanya biashara ivyo lazima mfanya biashara awe na gari la kumpeleka kwenye Mnada
Yard hiyo ni ya kimataifa kama ni hivyo.Gari yako Bado ipo yard mbona haina plate number!??