size 96 Senior Member Joined Aug 31, 2019 Posts 130 Reaction score 156 Nov 21, 2025 #1 Kwa mwenye ujuzi hii ni mali au ni mawe tu kama kuna anaejua anijuze tafadhari ni Vito vya aina gani hivi na soko lake ni wapi kwa Tanzania
Kwa mwenye ujuzi hii ni mali au ni mawe tu kama kuna anaejua anijuze tafadhari ni Vito vya aina gani hivi na soko lake ni wapi kwa Tanzania
K Kosugi JF-Expert Member Joined Sep 2, 2019 Posts 19,213 Reaction score 31,353 Nov 22, 2025 #2 size 96 said: Kwa mwenye ujuzi hii ni mali au ni mawe tu kama kuna anaejua anijuze tafadhari ni Vito vya aina gani hivi na soko lake ni wapi kwa Tanzania Click to expand... Lete picha
size 96 said: Kwa mwenye ujuzi hii ni mali au ni mawe tu kama kuna anaejua anijuze tafadhari ni Vito vya aina gani hivi na soko lake ni wapi kwa Tanzania Click to expand... Lete picha
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,751 Reaction score 184,581 Nov 22, 2025 #3 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw
Salvatory Feragamo Member Joined Sep 26, 2019 Posts 84 Reaction score 92 Nov 22, 2025 #4 nini maana ya 'Tutani'?