Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 7,004
- 9,263
Habari za ndugu zangu.
Mwezi uliopita nilifanikiwa kununua laptop moja niliyokua naihitaji sana katika shughuli zangu za hapa na pale, pia nikiwa kama mpenzi wa laptops games niliona inanifaa
Dell - Inspiron 15.6" Laptop - Intel Core i5 - 8GB Memory - NVIDIA GeForce GTX 1050 Ti - 256GB Solid State Drive - Black
ila hii PC nimekutana na changamoto moja ina INTERNAL MEMORY NDOGO ni 256GB japo ni kichipu flani hv ndio storage, ila imekuja na sehemu ya kuweka HDD lakini nikijaribu kuweka HDD mbalimbali hazisomi kwenye sysytem ya kompyuta ikabidi niingingie mtandaoni kuitafuta aina ya hii HDD au inayofanana na hiyo, naamini huku JF hapaharibiki neno "(there is an empty 2.5" bay which I installed 500GB Samsung EVO SSD on it. Recognized by the system the first time!)" haya ni maoni ya mtu alieweka HDD katika kompyuta yake. mtu mwenye uelewa au upatikanaji wake wa hiyo HDD anijuze nije ninunue
Pia kama kuna mtu anajua upatikanaji wa RAM DDR4 anijuze nataka niongeze ziwe GB 16
Naomba msaada tutani
cc; [HASHTAG]#chief mkwawa[/HASHTAG]
Mwezi uliopita nilifanikiwa kununua laptop moja niliyokua naihitaji sana katika shughuli zangu za hapa na pale, pia nikiwa kama mpenzi wa laptops games niliona inanifaa
Dell - Inspiron 15.6" Laptop - Intel Core i5 - 8GB Memory - NVIDIA GeForce GTX 1050 Ti - 256GB Solid State Drive - Black
ila hii PC nimekutana na changamoto moja ina INTERNAL MEMORY NDOGO ni 256GB japo ni kichipu flani hv ndio storage, ila imekuja na sehemu ya kuweka HDD lakini nikijaribu kuweka HDD mbalimbali hazisomi kwenye sysytem ya kompyuta ikabidi niingingie mtandaoni kuitafuta aina ya hii HDD au inayofanana na hiyo, naamini huku JF hapaharibiki neno "(there is an empty 2.5" bay which I installed 500GB Samsung EVO SSD on it. Recognized by the system the first time!)" haya ni maoni ya mtu alieweka HDD katika kompyuta yake. mtu mwenye uelewa au upatikanaji wake wa hiyo HDD anijuze nije ninunue
Pia kama kuna mtu anajua upatikanaji wa RAM DDR4 anijuze nataka niongeze ziwe GB 16
Naomba msaada tutani
cc; [HASHTAG]#chief mkwawa[/HASHTAG]