Msaada tutani jamani

Msaada tutani jamani

Tony Yeyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
733
Reaction score
570
Mm Nina tatizo moja yani uwa naumia sana Moyo ninapo toa pesa Yangu mfukoni kumpa mwanamke ATA Kama mpenzi wangu Niko tayali kumpa anacho taka au kumpeleka Anapo taka LAKINI sio kumpa pesa.. Hivi hii Hali ya kawaida JAMANI?
 
Mm Nina tatizo moja yani uwa naumia sana Moyo ninapo toa pesa Yangu mfukoni kumpa mwanamke ATA Kama mpenzi wangu Niko tayali kumpa anacho taka au kumpeleka Anapo taka LAKINI sio kumpa pesa.. Hivi hii Hali ya kawaida JAMANI?

Hiyo ndo safi,ila kuna faida zake na hasara zake,wadada wazuri utaishia kuwaita shemeji.lkn nakupongeza kwa kuwa mgumu/kauzu zaidi dagaa.
 
Mm Nina tatizo moja yani uwa naumia sana Moyo ninapo toa pesa Yangu mfukoni kumpa mwanamke ATA Kama mpenzi wangu Niko tayali kumpa anacho taka au kumpeleka Anapo taka LAKINI sio kumpa pesa.. Hivi hii Hali ya kawaida JAMANI?

Just curious. Umetoka mikoa ya kaskazini? Kama ndio nitakuwa nimeelewa ni kwanini.Kama sio una tatizo.
 
Ni ya kawaida kabisa

Na dawa yake ni kutumia revola tu achana kabisa na wanawake watakupa ugojwa wa moyo kila unapotoa pesa
 
Mm Nina tatizo moja yani uwa naumia sana Moyo ninapo toa pesa Yangu mfukoni kumpa mwanamke ATA Kama mpenzi wangu Niko tayali kumpa anacho taka au kumpeleka Anapo taka LAKINI sio kumpa pesa.. Hivi hii Hali ya kawaida JAMANI?

Mlipe huyo mlupo uliyemchukua corner bar, utamu umeonja alafu hutaki kumlipa?
 
Back
Top Bottom