KiJo
Member
- Jan 19, 2011
- 46
- 0
Rafiki yangu alikua outing beach bagamoyo last wkend na wenzake, gafla mzungu mmoja kwa mwonekano alikua mwanaume akamwita wakawa wanaongea at the end wakabadilishana contacts, just today msela katoka kwake kigamboni ananipa story but in short anasema anajinsia mbili na kwa mwonekano ni mwanaume wa kawaida ila ya kike ndio inafanya kazi, jamaa akaomba kuthibitisha akakuta ni kweli na anaishi na mama yake uko, amemwahidi kumsaidia lolote as long as he keeps the secret to himself. Afanye je..?????