Black beauty tunaojikubali tupo saana tu ila wakutafuta. Wanawake hakuna tunaloweza zaidi ya kutafuta attention ya Wanaume. Makalio ndo hayo ya mchina, maziwa ndo usiseme. Ifike mahali wanaume waseme basi inatosha, la sivyo miaka kadhaa ijayo hiyo saratani zitamaliza weengi sana