Tusubiri wengine lakini mimi nitakujibu kwa habari za uhakika ifikapo kesho jioni. Unaihitaji kwa ajili ya biashara au mashamba yako binafsi tu? unapanga kulima mazao gani na mkoa gani hasa?. Jibu haya pengine yanaweza kukusaidia kupunguza gharama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.