Muhamala
Senior Member
- Oct 1, 2017
- 101
- 88
Nina project yangu inakaribia kufika hatua za mwisho kabisa ila kuna baadhi ya vitu ninapata shida jinsi ya kupata solution yake.
Na shida yenyewe ni kwa upande wa mobile money payment yani nataka mteja awe anauwezo wa kulipia kwa mobile money kwa mitandao mitatu yani Vocadom M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money. Yani nataka iwe mtu anapewa control number then anatumia ile control number kufanyia malipo kwenye menu ya mobile money mfano mzuri ni kwenye system ya Student's Loan Board ile inaitwa OLAS kwamba ili mwanafunzi alipie fees anapewa control number then ndio anaingia kwenye menu ya mobile money anaingiza namba ya kampuni then kiasi halafu anaingiza hiyo control number inakuwa tayari kashalipia. (Angalia picha chini)
Vile vile the same idea nadhani ndio hata hawa jamaa wa tatu mzuka na biko wanatumia same theory, kwa kuanzia nadhani ni lazima kwenda hizo kampuni za simu kufanya registration na vitu vingine vidogo vidogo ila mimi msaada ninaoomba hapa umejikita kujua whats behind hizo process zote na idea kwa ujumla ipoje.
Nina other option ninayoweza kutumia ila ubaya wake ni kwamba hiyo njia nyingine ina mlimit mtumiaji kutumia namba moja tu ambayo ataifanyia registration pindi anafungua akaunti kitu ambacho binafsi naona hakitaleta mantiki.
Nimeleta mada hapa nipate ushauri na nijue kwa kuanzia.
Na shida yenyewe ni kwa upande wa mobile money payment yani nataka mteja awe anauwezo wa kulipia kwa mobile money kwa mitandao mitatu yani Vocadom M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money. Yani nataka iwe mtu anapewa control number then anatumia ile control number kufanyia malipo kwenye menu ya mobile money mfano mzuri ni kwenye system ya Student's Loan Board ile inaitwa OLAS kwamba ili mwanafunzi alipie fees anapewa control number then ndio anaingia kwenye menu ya mobile money anaingiza namba ya kampuni then kiasi halafu anaingiza hiyo control number inakuwa tayari kashalipia. (Angalia picha chini)
Vile vile the same idea nadhani ndio hata hawa jamaa wa tatu mzuka na biko wanatumia same theory, kwa kuanzia nadhani ni lazima kwenda hizo kampuni za simu kufanya registration na vitu vingine vidogo vidogo ila mimi msaada ninaoomba hapa umejikita kujua whats behind hizo process zote na idea kwa ujumla ipoje.
Nina other option ninayoweza kutumia ila ubaya wake ni kwamba hiyo njia nyingine ina mlimit mtumiaji kutumia namba moja tu ambayo ataifanyia registration pindi anafungua akaunti kitu ambacho binafsi naona hakitaleta mantiki.
Nimeleta mada hapa nipate ushauri na nijue kwa kuanzia.