Msaada: Tofauti ya Diploma na Ordinary Diploma

kimbwe

JF-Expert Member
Apr 1, 2013
707
211
Naomba kufahamu tofauti kati ya Diploma na Ordinary Diploma!
Je! Alafu mwenye Ordinary Diploma anaweza kuendelea na Chuo kikuu through ''direct entry''?

Ni hilo tu wadau, msaada wenu plz!
 
Naomba kufahamu tofauti kati ya Diploma na Ordinary Diploma!
Je! Alafu mwenye Ordinary Diploma anaweza kuendelea na Chuo kikuu through ''direct entry''?

Ni hilo tu wadau, msaada wenu plz!

Ordinary Diploma ndio hiyohiyo Diploma.

Kama umefanya vizuri Diploma ni Qualification mojawapo ya kuchukua Ordinary Degree.
 
Ordinary Diploma ndio hiyohiyo Diploma.

Kama umefanya vizuri Diploma ni Qualification mojawapo ya kuchukua Ordinary Degree.

Ewe Punguani haiitwi Ordinary Degree inaitwa Bachelor degree Ukipata hiyo unasoma Masters Degree baada ya hapo PhD
 
Ewe Punguani haiitwi Ordinary Degree inaitwa Bachelor degree Ukipata hiyo unasoma Masters Degree baada ya hapo PhD

Nakushukuru sana, lakini wakati mwingine ni vyema uwe unatumia lugha nyepesi.
 
Diploma ni ile wanayosoma wanaosoma walimu, miaka miwili sana sana. Ukimaliza huendi chuo kikuu kusoma Bachelor Degree hadi uombee NACTE na sio TCU.

Ordinaly Diploma ni ile inayotolewa na vyuo kama DIT WDMI and alike, inakua ya miaka miwili, unaenda chuo kikuu directly kupitia TCU.

Advanced Diploma ni kama Bachelor Degree
 
Diploma ni ile wanayosoma wanaosoma walimu, miaka miwili sana sana. Ukimaliza huendi chuo kikuu kusoma Bachelor Degree hadi uombee NACTE na sio TCU.

Ordinaly Diploma ni ile inayotolewa na vyuo kama DIT WDMI and alike, inakua ya miaka miwili, unaenda chuo kikuu directly kupitia TCU.

Advanced Diploma ni kama Bachelor Degree

Upo sawa, ila Ordinaly Diploma huchukua miaka 3
 
Ewe Punguani haiitwi Ordinary Degree inaitwa Bachelor degree Ukipata hiyo unasoma Masters Degree baada ya hapo PhD

Huwezi kufikiri labda amtajia hivyo ili amuelewe zaidi? Unaweza kudhani unajua sana kuliko huyo uliemkosoa lakini ukweli ni kwamba hujui kwanini amesema hivyo
 
sio sawa, ni miaka 3. otherwise utakuwa na FTC tena ukimaliza mwaka wa pili ndo unapata hiyo ukihitaji

Miaka miwil ya mwanzo ni technical certificates
Wa tatu ndo ordinary diploma na wa nne ni higher diploma
 
Back
Top Bottom