Msaada: tofauti kati ya cd4 na chembe hai nyeupe za damu (cd4 and white blood cells)

RJ45

JF-Expert Member
May 20, 2014
337
113
wasalaam wakuu!
nashindwa kutofautisha kati ya cd4 na white blood cell. je, mtu akipima damu akaambiwa white blood cells zmeshuka/kupungua inamaanisha ndo cd4 zmeshuka? je, ni sababu zipi zinapelekea kupungua kwa white blood cells? na mtu afanye nini ili kurudi katika hali ya kawaida?
 
Chembe hai nyeupe ni chembe za mwili zinazofanya kazi ya kuulinda mwili dhidi ya magonjwa, kutokana na sifa zake zimegawanywa katika makundi Neutrophils, Basophils, Eosinophils, Lymphocytes, Monocytes. Cd4 ni aina ya protini ambayo hupatikana kwenye sakafu (surface) ya baadhi ya cell zinazohusika na ulinzi wa mwili (hasa aina ya chembe nyekundu T-Lymphocytes helper). Kushuka kwake husababishwa na magonjwa yanayosababisha pengine uzalishwaji au uharibifu wa seli hizi. Mfano halisi ni ugonjwa wa UKIMWI ambao huharibu T-helper na kufanya kushuka kwa cd4
 
Chembe hai nyeupe ni chembe za mwili zinazofanya kazi ya kuulinda mwili dhidi ya magonjwa, kutokana na sifa zake zimegawanywa katika makundi Neutrophils, Basophils, Eosinophils, Lymphocytes, Monocytes. Cd4 ni aina ya protini ambayo hupatikana kwenye sakafu (surface) ya baadhi ya cell zinazohusika na ulinzi wa mwili (hasa aina ya chembe nyekundu T-Lymphocytes helper). Kushuka kwake husababishwa na magonjwa yanayosababisha pengine uzalishwaji au uharibifu wa seli hizi. Mfano halisi ni ugonjwa wa UKIMWI ambao huharibu T-helper na kufanya kushuka kwa cd4

Nimekukubali sana
We kweli wewe ulienda shule ukupita shule
Maelezo yako ni simple but very clear
 
Nimekukubali sana
We kweli wewe ulienda shule ukupita shule
Maelezo yako ni simple but very clear
Usijali mkuu, Nimejaribu kusaidia, hiyo ni elimu ndogo tu juu ya hizi chembe hai, pengine wengine wenye ujuzi zaidi watasaidia kuboresha zaidi
 
Back
Top Bottom